Wacha augue tu si alimsababishia mwenzake ugonjwa kwa fitna za kisiasa sasa mwenzake anadunda yeye kalala ndani tangu akose hata tano bora
Nani
Wacha augue tu si alimsababishia mwenzake ugonjwa kwa fitna za kisiasa sasa mwenzake anadunda yeye kalala ndani tangu akose hata tano bora
Kati ya watu ambao endapo hata wakiumwa vipi nitafurahi tu ni huyu
Huyu ni adui namba moja wa taifa letu
Aliongoza genge la majambazi wa nchi hii kuikataa katiba inayotokana na wananchi
Siku akifa wala sitalia....ikiwezekana nitamtupa ziwani awe chakula cha mamba
Alikuwa na nafasi ya kuweka record nzuri kwa vizazi vijavyo bahati mbaya alitanguliza tumbo na kujipendekeza kwa ex mkuu. Amemaliza kwa aibuSiyo yeye pekee yake aliyeharibu.
Simu yake moja na mwenye haki ataikosaJamani humu ndani jf hukuna huruma, Mzee anaumwa yapaswa kumfariji kwani kaleta mapinduzi kwny bunge letu.Mungu ampe maisha marefu.
Huruma ya nini? Unajua huyu mzee ameathiri vizazi vingapi kwa kuichakachua rasimu ya katiba ya warioba. Mwache avune maovu aliyoyasimamia
Duh...!!!Aliharibu katiba yetu halafu anjifanya anataka kwenda! Ee Mwenyezi Mungu mjalie maisha marefu mwezetu huyu ili hatimaye aone matokeo ya kazi yake.
Kumbuka yeye alikuwa msimamizi tu na hakuwa ndiye mwenye kufanya maamuzi ya mwisho. Ila wale wabunge wa bungee maalumu la katiba ndio wa kulaumiwa kwa ujumla wao.Alikuwa na nafasi ya kuweka record nzuri kwa vizazi vijavyo bahati mbaya alitanguliza tumbo na kujipendekeza kwa ex mkuu. Amemaliza kwa aibu
kuugua na kufariki ni lazima kwa kiumbe yeyote
usihukumu hiyo ni kazi ya mungu...................Alivyosigina katiba ya warioba hata shetani walimchukia, anakwenda wapi maana mbinguni hana lake. Najua wanafiki viongozi wa dini waTajitia kumwombea, labda zitapokelewa na shetani
Duh. Kaazi kwelikweliAnatakiwa mwandishi wa habari makini muda na kipindi hiki anapoumwa akamuulize "hivi ni kweli kuna wabunge wa bunge la katiba walipiga kura wakiwa hija?
Tunaweza kupata jibu zuri sana.
usihukumu hiyo ni kazi ya mungu...................
hata wewe una madhambi yako likiwamo hili hapa la kushangilia ugonjwa wa mwenzako
usihukumu hiyo ni kazi ya mungu...................
hata wewe una madhambi yako likiwamo hili hapa la kushangilia ugonjwa wa mwenzako
sioni cha ajabu hapo na nashangaa kwa nini tanzania d wameipa kipaumbele habari ya mzee sitta kuumwa. leo kwake kesho kwa mwengine.Wakuu habari hii imeandikwa na gazeti la Tanzania Daimaa, Aliyekuwa spika wa bunge la 9 Ndugu Samweli sitta ni mgonjwaa mpaka kutoweza kutembeaa. Mke wake adai anaendelea vizuri.
.
Bado naendelea kulisoma nilete habari kamili
![]()
My take..
Sijui kama serikali inalijua hilii
Na nina hakika kuanzia kesho au leo tutaanza kuona misafara ya viongozi kumtembeleaa kwa unafiki uliotukukaa