Kinyungu
Platinum Member
- Apr 6, 2008
- 21,608
- 42,959
Aumwe tu hadi akae kabisa asisogeze hata mguu. Alidhani yy hatakaa aumwe. Na badoHuyu si alisema Lowasa ni mgonjwa
Aumwe tu hadi akae kabisa asisogeze hata mguu. Alidhani yy hatakaa aumwe. Na badoHuyu si alisema Lowasa ni mgonjwa
Cha ajabu kipo maana alisema wenzake wagonjwa kumbe na yy huwa anakuwaga mgonjwa tulidhani yy ni jiwe hawezi kuumwasioni cha ajabu hapo na nashangaa kwa nini tanzania d wameipa kipaumbele habari ya mzee sitta kuumwa. leo kwake kesho kwa mwengine.
Jamani watu husameheana katika ugonjwa, alituchakachua basi tumwachie MunguAnataka "kusevu" baada kutuacha kwenye mfarakano haujawahi kutokea. Sishangai kitu nayo pia mbinu ya kisiasa.
Mh!Pole Mzee Sita! Utu uzima nao umefika! Umekula kula imetosha
Kuugua ni ibadaMungu na atende kadiri apendavyo.
are you kidding me!?? sitta huyu aliyebaka katiba yetu kwa uroho wa milioni 300?!!usitukere wewe.Kwa mtu mashuhuri kama huyu kuugua hadi anashindwa kutembea harafu taarifa ndo tunazipata leo nadhani si sawa, watu kama hawa ambao walijitoa kwa maslahi ya taifa hili wanatakiwa waangaliwe na jicho la ziada
so what....majambazi wengine wanachomwa moto...he deserves what he gets...Rest in HellHadi kwenye magonjwa mnaleta siasa Sitta ni binadamu kama wengine tu
Mkuu umeenda mbali mno. Unajua huyu asingeweza kufanya hayo peke yake. Mbona huzungumzii yule mzinduzi wa bunge lile jinsi alivyowavuruga. Lazima atakuwa alitoa mwongozo. Sasa Six angefanyaje jamani! Mpeni pole Six na kumtakia kupona. Kuna wimbo unasema "Ombea adui yako aishi miaka mingi ili unapobarikiwa ajionee kwa macho. Hamna haja kabisa afe kabla hajaona baraka ambazo Mungu ameweka mbele yako ..." Get well sooner Six!Kati ya watu ambao endapo hata wakiumwa vipi nitafurahi tu ni huyu
Huyu ni adui namba moja wa taifa letu
Aliongoza genge la majambazi wa nchi hii kuikataa katiba inayotokana na wananchi
Siku akifa wala sitalia....ikiwezekana nitamtupa ziwani awe chakula cha mamba
wewe mwombee hayoMkuu umeenda mbali mno. Unajua huyu asingeweza kufanya hayo peke yake. Mbona huzungumzii yule mzinduzi wa bunge lile jinsi alivyowavuruga. Lazima atakuwa alitoa mwongozo. Sasa Six angefanyaje jamani! Mpeni pole Six na kumtakia kupona. Kuna wimbo unasema "Ombea adui yako aishi miaka mingi ili unapobarikiwa ajionee kwa macho. Hamna haja kabisa afe kabla hajaona baraka ambazo Mungu ameweka mbele yako ..." Get well sooner Six!
Samahani, sikujua kama uelewa wako ni mdogo kiasi hiki.Usichoelewa unaachana nacho ,comments za watu humu sio Compulsory Questions kuwa lazima ujitutumue kujibu hata Kama huelewi!
Aliharibu katiba yetu halafu anjifanya anataka kwenda! Ee Mwenyezi Mungu mjalie maisha marefu mwezetu huyu ili hatimaye aone matokeo ya kazi yake.
Anataka kwenda? Anaenda wapi mkuu?Kwa muktadha wa sualala Katiba, Pengo naye mule mule!Pengo na Mufti nao waliumwa na Wakalazwa Muhimbili umesahau?