Samweli Sitta ni Mgonjwa

Samweli Sitta ni Mgonjwa

Status
Not open for further replies.
Kati ya watu ambao endapo hata wakiumwa vipi nitafurahi tu ni huyu

Huyu ni adui namba moja wa taifa letu

Aliongoza genge la majambazi wa nchi hii kuikataa katiba inayotokana na wananchi

Siku akifa wala sitalia....ikiwezekana nitamtupa ziwani awe chakula cha mamba
Duuuh waungwana basi tusameheane dunia tunapita
 
Pole kwa msiba wa Mzazi wako, Diana Sitta. Mungu akutie nguvu na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu cha masikitiko na majonzi. Amina. (Rejea update ya post ya kwanza ya uzi huu)
 
Kati ya watu ambao endapo hata wakiumwa vipi nitafurahi tu ni huyu

Huyu ni adui namba moja wa taifa letu

Aliongoza genge la majambazi wa nchi hii kuikataa katiba inayotokana na wananchi

Siku akifa wala sitalia....ikiwezekana nitamtupa ziwani awe chakula cha mamba
Mkuu naomba Mungu wasikuweke kwenye kamati ya mapokezi ya mwili wa marehemu.
 
Wakuu habari hii imeandikwa na gazeti la Tanzania Daimaa, Aliyekuwa spika wa bunge la 9 Ndugu Samweli sitta ni mgonjwaa mpaka kutoweza kutembeaa. Mke wake adai anaendelea vizuri.

.
Bado naendelea kulisoma nilete habari kamili

20160913_043403.jpg


My take..
Sijui kama serikali inalijua hilii
Na nina hakika kuanzia kesho au leo tutaanza kuona misafara ya viongozi kumtembeleaa kwa unafiki uliotukukaa

=======

Mungu si wa kuchezea eti mkimkabidhi lowasa nchi mtaingia gharama kufanya uchaguzi mpya,kisa eti lowasa mgonjwa sasa umetenguliwa wewe na utajibu kwa mola jukumu ulompa lowasa dadeki
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom