Samweli Sitta ni Mgonjwa

Samweli Sitta ni Mgonjwa

Status
Not open for further replies.
Jamani humu ndani jf hukuna huruma, Mzee anaumwa yapaswa kumfariji kwani kaleta mapinduzi kwny bunge letu.Mungu ampe maisha marefu.
Anavuna alichopanda kwani hakuwa na huruma na watanganyika wengi ambao wanateseka sasa kutokana na kutokuwepo kwa katiba ya wananchi. Mara nyingi viongozi hulewa madaraka na kusau kuwa wote tuko safarini hapa duniani. Ile hela iliypotea kwa mkutano feki wa katiba na sherehe pale Dodoma ingeweza kuweka dawa na vifaa katika hosipitali zote za serikali. Mzee Sitta pole sana. Ulifanya machache mazuri mengi mabaya pamoja na ujenzi wa nyumba ya spika kule urambo hivyo ukipata ahueni tafuta namna ya kuwaomba watanzania msamaha.
 
Wote huumwa na wote tutakufa lakini mzee sita alionesha tabia ambazo maiti huonesha kwa waliokuja kumzika maana anauhakika hawatamuona tena na ndo maana ya balibabambonahi,mzee alijidhihirisha hivyo katika bunge la katiba,muache achapwe maana mshahara wa dhambi ni mauti.
 
Pole Baba,Kweli ulileta Mapinduzi ktk binge tukavutiwa nalo ilikua motooo,Richmond....binge lili balance has a mpaka kufikia upinzani na Ccm kuungana kupigania jambo moja!!
 
Yaani nasoma comments hizi naona jinsi watu walivyo na hasira nawaza vile vijamaa viwili kimoja cha kule mtamani lindi kilikuwa kienezi na itikadi na kile cha dom kibwajaji vilikuwa vinatangaza sana kuwa edo mgonjwa na hapaswi kwenda magogoni eti hatupeleki maiti magogoni. Siku vikija kuugua sijui hasira itakuwaje. Maana na vyenyewe vilijisahau sana vikajifanya vyenyewe ni mawe na kuwa viko kama Mungu. Ngoja siku ya siku ifike ndio vitajifunza kuwa uzima na kifo ni hatimiliki ya Mungu tu!
 
Kwa mtu mashuhuri kama huyu kuugua hadi anashindwa kutembea harafu taarifa ndo tunazipata leo nadhani si sawa, watu kama hawa ambao walijitoa kwa maslahi ya taifa hili wanatakiwa waangaliwe na jicho la ziada

Haya bwana ubarikiwe
 
Wakuu habari hii imeandikwa na gazeti la Tanzania Daimaa, Aliyekuwa spika wa bunge la 9 Ndugu Samweli sitta ni mgonjwaa mpaka kutoweza kutembeaa. Mke wake adai anaendelea vizuri.

.
Bado naendelea kulisoma nilete habari kamili

20160913_043403.jpg


My take..
Sijui kama serikali inalijua hilii
Na nina hakika kuanzia kesho au leo tutaanza kuona misafara ya viongozi kumtembeleaa kwa unafiki uliotukukaa

=======
Isijekuwa uchochezi
 
Huu uzi unafaa uangaliwe saana.Inaelekea kuna watu wanashabikia guugua kwake....wakipatikana wakamatwe na wafungwe haraka saana.....Katiba mpya na uhai wa mtu wapi na wapi.

Katiba safi ni uhai wa taifa vizazi na vizazi vijavyo.
 
Pole sana mzee wetu..Mungu akuponye haraka bado busara zako zinahitajika maana baada ya bunge la katiba umejifunza kitu..
 
Aisee watu wana hasira sana na huyu mzee. Najiuliza yeye mwenyewe akisoma comments hizi atajisikiaje? Atajiona hatakiwi kabisa hapa duniani. Sijui mkewe na watoto wakisoma wanajisikiaje? Kweli humu nimeona maoni ya watu wenye hasira kali! Kumbe watu hawasahau ee? Mimi naomba tumsamehe na tumuombee afya njema kama binaadamu. Inshaalah Mungu atamponya!

Take it that way, angelikuwa ameua watoto au kaka na dada zako ungesali sala hiyo? Basi kwa katiba alifanya hivyo
 
Wote huumwa na wote tutakufa lakini mzee sita alionesha tabia ambazo maiti huonesha kwa waliokuja kumzika maana anauhakika hawatamuona tena na ndo maana ya balibabambonahi,mzee alijidhihirisha hivyo katika bunge la katiba,muache achapwe maana mshahara wa dhambi ni mauti.

Ebyo omufu akola ali aha nyanga ati balibabambonaha
 
Jana ilikua sikukuu ya Eid Alhaji. Magazeti yote yameipa coverage kubwa sana sikukuu hii isipokua gazeti hili
 
Marijani Rajabu aliimba, 'kila mtenda wema atakumbukwa kwa wemaee, makatiili, makatili si watu jamaee.
Mashujaa tutawakumbuka kwa wemaeee mlikubalii kujitoa mhangaeee, kwa ajili ya kutetea haki zetuee! makatili tunawapiga laaana laana khum!.
 
Kumbuka yeye alikuwa msimamizi tu na hakuwa ndiye mwenye kufanya maamuzi ya mwisho. Ila wale wabunge wa bungee maalumu la katiba ndio wa kulaumiwa kwa ujumla wao.
Nakuunga mkono. Wa kulaaniwa ni wale wabunge wa bunge maalum la katiba waliopitisha maamuzi mabaya kwa kizazi kijacho. Ingekuwa Magu sio partisan, nadhani angemuru ile rasimu ya pili ya Warioba ndio ipitishwe, kwa marekebisho kidogo tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom