simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,694
- 9,580
Anataka "kusevu" baada kutuacha kwenye mfarakano haujawahi kutokea. Sishangai kitu nayo pia mbinu ya kisiasa.
Tunamtakia safari njema. Ndo kishaianza hivyo akifika awasilimie mashujaa wetu kama atabahatika kukutana nao. Sina hamu naye huyu mzee. Japokuwa hata mimi ni msafiri mtarajiwa lakini yeye atangulie tu mimi nitafuata nikishajiandaa.Kati ya watu ambao endapo hata wakiumwa vipi nitafurahi tu ni huyu
Huyu ni adui namba moja wa taifa letu
Aliongoza genge la majambazi wa nchi hii kuikataa katiba inayotokana na wananchi
Siku akifa wala sitalia....ikiwezekana nitamtupa ziwani awe chakula cha mamba
Pamoja na mapungufu na madhaifu aliyoonesha akiwa kama spika kati bunge la Jamhuri ya Muungano pamoja na like la Katiba, bado kama mwanadamu yeyote na mtanzania kama Mimi namtakia wepesi katika afya yake. Apone haraka kunasiku ataeeza andika kitabu juu ya historia yake kama spika bila kusahau ukweli halisi juu ya Ile sakata maarufuya Richmond!
Wakuu habari hii imeandikwa na gazeti la Tanzania Daimaa, Aliyekuwa spika wa bunge la 9 Ndugu Samweli sitta ni mgonjwaa mpaka kutoweza kutembeaa. Mke wake adai anaendelea vizuri.
.
Bado naendelea kulisoma nilete habari kamili
![]()
My take..
Sijui kama serikali inalijua hilii
Na nina hakika kuanzia kesho au leo tutaanza kuona misafara ya viongozi kumtembeleaa kwa unafiki uliotukukaa[/QUO
Dah! speechless kama wanasoma komenti hizi lazima wengine watajifunza kitu.Kati ya watu ambao endapo hata wakiumwa vipi nitafurahi tu ni huyu
Huyu ni adui namba moja wa taifa letu
Aliongoza genge la majambazi wa nchi hii kuikataa katiba inayotokana na wananchi
Siku akifa wala sitalia....ikiwezekana nitamtupa ziwani awe chakula cha mamba
Unanikumbusha mengi sana juu ya hili jambo la katibaAnatakiwa mwandishi wa habari makini muda na kipindi hiki anapoumwa akamuulize "hivi ni kweli kuna wabunge wa bunge la katiba walipiga kura wakiwa hija?
Tunaweza kupata jibu zuri sana.
jibu litakuwa usilete siasa kwenye afya yangu.Anatakiwa mwandishi wa habari makini muda na kipindi hiki anapoumwa akamuulize "hivi ni kweli kuna wabunge wa bunge la katiba walipiga kura wakiwa hija?
Tunaweza kupata jibu zuri sana.
Mmoja umemtaja kwa jina, mwingine kwa cheo chake. Wanaoitwa Pengo wako wengi.Pengo na Mufti nao waliumwa na Wakalazwa Muhimbili umesahau?