Tanzania Njema Yaja
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 3,041
- 2,417
Spika wetu msaafu ni mtu anae penda chama zaidi kuliko Tz.... kaamua kuwa kafara wa katiba mpya na mbaya zaidi atakuwa kwenye kumbukumbu za watz kama ndo kinara wa kutupa maoni ya watz kumbe maskini wa Mungu mzee huyu alitaka chama chake kifurahi....