Mbona Wanyarwanda wameendelea kumuamini Kagame tena kwa Wingi.
Magu akitutoa tulipo akae milele.
ni kweli anaangushwa na washauri wake
Hakukosea kumwambia jk aongeze ukali kwani ndo matokeo yake tumeyaona.
Pia ana haki kumwambia jpm anashauriwa vibaya endapo kuna mahali ameona ameona kuna mahali amekosea
Kuna kitu kinaitwa manipulation ndugu, viongozi wa kiafrika wanauwezo wa kumanipulate chaguzi mbalimbali, in short mwenye haki ktk chaguzi za kiafrika sio mpiga kura bali mhesabu na mtangaza mshindi! Kwahiyo suala la sijui Kagame anapendwa na wanyarwanda hiyo ni subjectivity!
Wanyarwanda wamelazimika kubadilisha katiba ili Kagame aendelee kutawala si kwa matakwa yao na siyo kwamba katika wanyarwanda wote hakuna mwenyeuwezo wa kutawala isipokuwa ni Kagame tu.
Isipokuwa wamelazimika kufanya hivyo kwa ajili ya usalama wao,Kagame ni gaidi ambaye akiachwa bila kuwa na madaraka ya urais ndiye atakaye wamaliza wanyarwanda kwa kuwachinja,njia pekee ya wanyarwanda kuendelea kuwa salama ni kumfanya Kagame kuwa rais wao wa kudumu.
Kagame hana historia ya kuwa chini ya mtu kuanzia kipindi kile alichokuwa msituni kila aliyeonekana kuwa ana weza akawa mtawala wake,Kagame alitumia kila mbinu za kummaliza.
Ujengi mfumo kwa kuangalia mtu bali mfumo unaweza kumchukua/kumsimamia yeyote yule.Wanyarwanda wamelazimika kubadilisha katiba ili Kagame aendelee kutawala si kwa matakwa yao na siyo kwamba katika wanyarwanda wote hakuna mwenyeuwezo wa kutawala isipokuwa ni Kagame tu.
Isipokuwa wamelazimika kufanya hivyo kwa ajili ya usalama wao,Kagame ni gaidi ambaye akiachwa bila kuwa na madaraka ya urais ndiye atakaye wamaliza wanyarwanda kwa kuwachinja,njia pekee ya wanyarwanda kuendelea kuwa salama ni kumfanya Kagame kuwa rais wao wa kudumu.
Kagame hana historia ya kuwa chini ya mtu kuanzia kipindi kile alichokuwa msituni kila aliyeonekana kuwa ana weza akawa mtawala wake,Kagame alitumia kila mbinu za kummaliza.