Samwel Sitta: Magufuli anashauriwa vibaya!

Samwel Sitta: Magufuli anashauriwa vibaya!

mwache raisi afanye kazi, kuna mautumbo mengi asiposhugulika nayo kwa staili hii sasa yatamshinda huko mbeleni, mwache aondoe uozo wote huu hapahapa mwanzoni. Huko kwenye reli kuna maozo mengi sana tena anatakiwa apashugulikie zaidi ya hapo

Kuna kitu watu hawakijui kumhusu Magufuli, hoja ya kuwa anashauriwa vibaya sii hoja, kwasababu Magufuli ninayemfahamu mimi, hashauriki, na hana hata chembe ya busara!, Magufuli ni mtu wa maamuzi magumu kwa haraka, pupa na papara!.

Wengine hili tuliliona na tukalisema mapema tuu!, tena huu ni mwanzo!, nawaambieni subirieni tuu, na ikitokea akanogewa na urais, kile kipengele cha two 5 yeas terms kitaondoka and no one can stop himi!, mtaniambia!.
If you can't beat them, join them! He is the worst dictator.

Kwa Kasi Hii ya Magufuli na "Hapa Kazi Tuu", Hivi Kweli Kuna

Merry X-mass & Prosperous NY!.

Pasco
 
Kuna kitu watu hawakijui kumhusu Magufuli, hoja ya kuwa anashauriwa vibaya sii hoja, kwasababu Magufuli ninayemfahamu mimi, hashauriki, na hana hata chembe ya busara!, Magufuli ni mtu wa maamuzi magumu kwa haraka, pupa na papara!.

Wengine hili tuliliona na tukalisema mapema tuu!, tena huu ni mwanzo!, nawaambieni subirieni tuu, na ikitokea akanogewa na urais, kile kipengele cha two 5 yeas terms kitaondoka and no one can stop himi!, mtaniambia!.
If you can't beat them, join them! He is the worst dictator.

Kwa Kasi Hii ya Magufuli na "Hapa Kazi Tuu", Hivi Kweli Kuna

Merry X-mass & Prosperous NY!.

Pasco
Asije tu akafuta vyama vingi maana katika kampeni nilisikia akisema CCM inawezakujibadili na kuleta mabadiliko kama ilivyo chama cha kikomunisti cha China!
 
SAMWEL SITTA hana moral Authority ya kushauri chochote...akae tu apumzike aistuharibie nchi...alikuwa na fursa ya kufanya makubwa kwa nchi hii akaharibu kabisa....nimsaliti nimesoma pahala humu ndani kwamba ataandika kitabu....nitashangaa atakaye nunua hichio kitabu labda kama kitakuwa cha kujisomea mwenyewe hapo nyumbani Kwake....Ametenda kosa la Mauti Kisiasa kuinyonga na kuitupa kapuni Katiba ya Warioba....sasa atulie awaache wenzake wafanye kazi....
 
Mbona Wanyarwanda wameendelea kumuamini Kagame tena kwa Wingi.
Magu akitutoa tulipo akae milele.
Hata sisi tulishapita huko. Enzi za Nyerere pamoja na kuwakuna kipindi hatukuwa na bidhaa madukani, watu walitembea nusu uchi au kuvaa bipande vya nguo/magunia, lakini tukipiga kura tunampa juu ya asilimia 80! Ya Wanyarwanda si ya kushangaza yalitegemewa.
 
Kuna kitu watu hawakijui kumhusu Magufuli, hoja ya kuwa anashauriwa vibaya sii hoja, kwasababu Magufuli ninayemfahamu mimi, hashauriki, na hana hata chembe ya busara!, Magufuli ni mtu wa maamuzi magumu kwa haraka, pupa na papara!.

Wengine hili tuliliona na tukalisema mapema tuu!, tena huu ni mwanzo!, nawaambieni subirieni tuu, na ikitokea akanogewa na urais, kile kipengele cha two 5 yeas terms kitaondoka and no one can stop himi!, mtaniambia!.
[h=3]If you can't beat them, join them! He is the worst dictator.[/h][h=3]Kwa Kasi Hii ya Magufuli na "Hapa Kazi Tuu", Hivi Kweli Kuna [/h] Merry X-mass & Prosperous NY!.

Pasco
Unaandika kama upo kwenye vijiwe vya kahawa. .do you have any relevant examples to support your claims? Eti hashauriki. .mnataka mtu wa kucheka cheka sio? Magufuli ni zero tolerance na ndio tunataka rais wa hivyo. Izo hearsay zenu peleka huko
 
Acheni kumsimanga Masia wa Mungu kwa wa Tz. Watu wamemuomba Mungu sana hali ilikuwa mbaya taifa lilikuwa nusu kubiduka. Mwacheni Magufuli afanye kazi. Tuache ujinga wakukosoa kaz zake pindi anagusa masilah yenu. Tumempata kiongoz hata misitu, tembo na faru walio hama mbuga zetu wameamua kurudi tanzania.
 
hili zee bado linalipiwa mamilioni kwenye nyumba ya spika,haya ndo majizi yaliyotapanya hela kipindi cha jk...lilafi sana babu hili,kila nikifikiria ushetani lilioufanya kwenye katiba nachoka.
 
Sita ni karai la zege likishatumika hutupwa huko halifai tena labda lisubiri zege nyingine
 
Hahahahaha wanakuja taratibu nahesabu tu
Huyu ni wa pili baada ya yule wa Mwanza Lakairo.....
 
Asije tu akafuta vyama vingi maana katika kampeni nilisikia akisema CCM inawezakujibadili na kuleta mabadiliko kama ilivyo chama cha kikomunisti cha China!

Ikibidi huko tufike tu tunachohitaji ni maendeleo. Ni kweli China hawana vyama vingi lakini kiuchumi ndiyo leaders. wazungu wametuletea maumivu tu ni bora wasingeleta vyama vingi. Leo hii tunafanya chaguzi watawala wanatuibia kura wadhungu hawatusaidii huku wakijua wananchi si rahisi kupingana na dola Watanzania wastaarabu hawataki kuuana. Tumeanza kufikiria kurudi Canan kuliko kuendelea kudanganywa demokrasia. Mwaka huu nilijiandaa kuwaondoa watawala kidemokrasia kura nilipiga lakini matokeo tofauti. Bora Magufuli aongoze vipindi vinne tusonge mbele. Tunapoteza muda kujadili demokrasia lakini kitendo haipo mara viongozi wapinzani wanachinjwa so what aaaaah.
 
Masikini Sita ameamua kujidhalilisha kama kweli katoa kauli hiyo kweli ana haki ya kustaafu siasa,

Nakumbuka alipokuwa spika wa bunge la tisa kuna wakati aliwahi kumwambia kikwete aongeze ukali kidogo.

Sasa hivi tumepata raisi mkali asiyevumilia uovu anasema anashauriwa vibaya nini maana yake?

Huyu ni wa kupuuzwa apumuzike tu.
Tena akae kimya vinginevyo yeye mwenyewe atakuwa jipu.

achunguzwe, labda atakua na kontena mahala.
 
Sitta kinamuuma baada ya kusitishwa kwenye mbio zake za kuwania uspika. Lakini pia mke wake pamoja na kushinda kiti cha ubunge kule Urambo JPM hajampa kanafasi ka unaibu.
Zungu pia alizungushwa kwenye nafasi ya uspika tukajua labda atapewa uwaziri ama unaibu. Kimyaaa!!.
Zungu umeikosea nn ccm?
 
Ukweli utawala huu siushabikii lakini Sita namchukia sana katurudisha nyuma miaka 50 (Katiba ya wananchi)
 
Kuna kitu watu hawakijui kumhusu Magufuli, hoja ya kuwa anashauriwa vibaya sii hoja, kwasababu Magufuli ninayemfahamu mimi, hashauriki, na hana hata chembe ya busara!, Magufuli ni mtu wa maamuzi magumu kwa haraka, pupa na papara!.

Wengine hili tuliliona na tukalisema mapema tuu!, tena huu ni mwanzo!, nawaambieni subirieni tuu, na ikitokea akanogewa na urais, kile kipengele cha two 5 yeas terms kitaondoka and no one can stop himi!, mtaniambia!.
[h=3]If you can't beat them, join them! He is the worst dictator.[/h][h=3]Kwa Kasi Hii ya Magufuli na "Hapa Kazi Tuu", Hivi Kweli Kuna [/h] Merry X-mass & Prosperous NY!.

Pasco

Sawa Pasco, hivi hata lile la kubadili matumizi ya fedha za "cocktail party" ya wabunge na kununua vitanda vya hospitali alikurupuka eeh??

Kweli sisi ndio Waafrika, no wonder tuko maskini mpaka leo japo tuna kila rsilimali ya utajiri
 
Hakukosea kumwambia jk aongeze ukali kwani ndo matokeo yake tumeyaona.
Pia ana haki kumwambia jpm anashauriwa vibaya endapo kuna mahali ameona ameona kuna mahali amekosea
 
Back
Top Bottom