Magurudumu
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,748
- 490
Katika ile dhana ya kusoma namba, ni wazi imeendelea kuwatafuna wanachama wa chama changu. Katika gazeti la leo, aliyekuwa spika wa bunge la tisa ametoa kali na kusema Rais Magufuli anashauriwa vibaya. Hasa baada ya kutumbua jipu la Reli.
Samwel Sita, kasema Magufuli kachukua hatua hiyo baada ya kushauriwa vibaya, na vile vile ingemfaa achukue muda wa kujiridhisha kwanza!...
Mtanzania, 24.12.2015
Watu wengine ni sheeda sana. Huyu S. 6 alishindwa nini kufafanua wapi raisi kashauriwa vibaya na ni kwa nini anauita ushauri huo ni mbaya.