Si mlisema Magufuli huwa hakosei?Ni kweli anaangushwa na washauri wake
Sita roho inamuuma kimya kimya, katiba mpya ndio iliyommaliza
Pasco umeongea vema..maana hapa janvini kuna watu wameanza kupiga debe magu akae miaka 20 anyooshe nchi..
Mbona Wanyarwanda wameendelea kumuamini Kagame tena kwa Wingi.
Magu akitutoa tulipo akae milele.
Akwende zake pumbafu huyu amwache raisi afanye yake hili zee nafiki kweli kweli
Kuna kitu watu hawakijui kumhusu Magufuli, hoja ya kuwa anashauriwa vibaya sii hoja, kwasababu Magufuli ninayemfahamu mimi, hashauriki, na hana hata chembe ya busara!, Magufuli ni mtu wa maamuzi magumu kwa haraka, pupa na papara!.
Wengine hili tuliliona na tukalisema mapema tuu!, tena huu ni mwanzo!, nawaambieni subirieni tuu, na ikitokea akanogewa na urais, kile kipengele cha two 5 yeas terms kitaondoka and no one can stop himi!, mtaniambia!.
[h=3]If you can't beat them, join them! He is the worst dictator.[/h][h=3]Kwa Kasi Hii ya Magufuli na "Hapa Kazi Tuu", Hivi Kweli Kuna [/h] Merry X-mass & Prosperous NY!.
Pasco
Mbona Wanyarwanda wameendelea kumuamini Kagame tena kwa Wingi.
Magu akitutoa tulipo akae milele.
Kama kweli kwa nini asimfuate amueleweshe akiwa na vielelezo..huyu mzee namuheshimu ila ameshindwa kusoma alama
Kuna kitu kinaitwa manipulation ndugu, viongozi wa kiafrika wanauwezo wa kumanipulate chaguzi mbalimbali, in short mwenye haki ktk chaguzi za kiafrika sio mpiga kura bali mhesabu na mtangaza mshindi! Kwahiyo suala la sijui Kagame anapendwa na wanyarwanda hiyo ni subjectivity!