Wewe usiseme kuhusu cda, hapo ndiyo aliharibu kabisa na aliemuokoa ni mwalimu nyerere! Aliwaajiri ndugu zake akina ismael rage wakafanya ufisadi wa ajabu! Jamani kama mmezaliwa majuzi tafuteni historia ya nchi hii kwanza ndiyo mposti habari zenu! Leo ukitaja cda enzi ya sitta kuna watu watakutafuna!