cyberspace
JF-Expert Member
- Jul 23, 2011
- 730
- 291
kama waziri sitta ana uwezo wa kumshauri au kumshawishi rais kuwa dowans isilipwe,je amewahi kumuandikia barua jk kuhusu dowans?je amewahi kupeleka hoja binafsi kuhusu dowans ijadiliwe kwenye baraza la mawaziri?
Kweli wewe mstaafu mawazo ya kizamani sana, your ideas are not workable in the closed and corrupt system like Tanzania.