Butola
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 2,290
- 756
Kama kawaida Watanzania wenye fikra mgando wanaendelea kuimba wimbo waliokaririshwa pasi kufikiri...Mnafiki....Mnafiki....Mnafiki, CCM wote Wanafiki...Wanafiki...Wanafiki, upumbavu mtupu!!
Ebu endeleni tu kuimbaimba huo wimbo huku pasi kujua mkiwakatisha tamaa waliojitolea kupambana na uovu, na kuipa nguvu kambi ya waliojitolea kula pesa za nchi.
Ebu endeleni tu kuimbaimba huo wimbo huku pasi kujua mkiwakatisha tamaa waliojitolea kupambana na uovu, na kuipa nguvu kambi ya waliojitolea kula pesa za nchi.