Samsungs wanashida gani?

Samsungs wanashida gani?

Mkuu kati ya Xiaomi mi 12x na Xiaomi Civi 1s lipi ni chaguo sahihi maana bei naona hazipishani
12X ni flagship mkuu, kuanzia Camera mpaka perfomance hailinganishiki na Hio civi.

Mfano camera kwenye Video 12x inachukua 8k kwa 24fps, 4k kwa 60fps ama 30fps wakati civi ni 4k 30fps tu.

Pia bei sidhani kama ni sawa 12x ni milioni kupanda na Civi ni laki kadhaa.
 
Sikia simu yeyeote inayokaa na chaji perfomance yake lazima iwe ndogo amini navyokuambia mfano mzuri tecno na infinix
 
Hizo alizotaja, mfano A3s ina snapdragon 450 ni soc ambayo haina nguvu sana lakini inakaa na chaji.same kwa samsung wanayo A02s nayo ina sd 450 inakaa na chaji ila mambo mengine average
Chief mkwawa simu yangu inatumia snapdragon 835 vp ni simu nzuri au ya kawaida?
 
Afu
mimi nashangaa mkuu.

hawa ndio wale wanaowasha na kuzima data.mtandao anaoinga ni whatsapp na facebook,mwanga anaweka 35% mpaka juani hapandishi.
wakati kwa utaratibu huo hata iphone na samsung ukifanya hivi utaipenda.

juzi nimeshika infinix hot 11 sijui nambiwa inakaa na charge balaa,nikapeleka 100% mwanga nikaanza kusurf maeneo mbali mbali,ndani ya dakika 20 iko na 95%
na hapo sijaplay hd video wala kucheza migemu ya sifa.
Afu utakuta ina 5000mah
 
Tatizo ni lako na si Samsung, zipo Samsung kibao zinakaa na chaji kuliko hizo ulizotaja.

Mfano hizo oppo ulizotaja zina weak soc ndio maana zipo slow jaribu kuchukua mfano wake kwa samsung A21s, perfomance ndogo na ukaaji chaji mkubwa.

Redmi 9 mfano wake ni A22 zina battery size moja na soc moja, pia ukaaji chaji hautofautiani sana na kitofautishi ni 90hz display ya A22.

Hivyo mkuu ukaaji chaji si Brand ya simu bali Technology husika ambazo zipo ndani.
Kweli kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom