Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Ukaaji na chaji unategemeana na mengi sana.Sawa zina weak soc ila nimetoa mfano kwa oppo kulingana na mdau alivyomjibu mchangiaji hapo juu. Ndiyo maana nikaweka na samsung j6 plus na a51.
Nimetumia simu aina nyingi na matoleo tofauti ila sijawahi kubahatisha simu ya Samsung inayokaa na chaji zaidi ya masaa 12. Iwe low, mid, au high end. Samsung nyingi nilizotumia ikiwa mpya inahitaji kukaa na chaji kadiri siku zinavyoenda ndivyo ukaaji wa chaji unapungua, kitu ambacho kwa oppo au xiaomi ni ngumu kukuta.
Nina Samsung A7 ya 2017.
Nikitoa chaji saa 12 asubuhi, nafika saa 2 usiku na 30%.
Huwa sizimi data na ninatumia kwa matumizi ya kawaida.
next phone kainunue hata ya laki 650 tu then utakuja kuleta mrejesho!