Samsung wanatuibia kwenye hizi A

Samsung wanatuibia kwenye hizi A

Mbona A10S yangu mwaka wa pili haina shida?au cjui matumizi ya simu nini?
Kama a10s inakulizisha Kwa matumizi yako ni Sawa lakini ni simu yenye processor yenye uwezo WA Chini, kamera ya kawaida, haina fast charge, kioo chake hakina protector mfano wa gorilla 3, ina resolution ndogo hivyo picha na video zitaonekana Kwa ubora WA kawaida, inapata tatizo la overheating ukifungua games kubwa ama apps zinazotumia resources nyingi, na wakati mwingine tatizo la ku stuck

Jaribu kucheza PUBG Mobile 2018, utagundua Hilo.

spidi ya network ni ndogo Kwa sababu 4g yake ni category 4 yaani 150mbps, kama Una laini ya halotel ya 4g test spidi halafu uone
 
Kama a10s inakulizisha Kwa matumizi yako ni Sawa lakini ni simu yenye processor yenye uwezo WA Chini, kamera ya kawaida, haina fast charge, kioo chake hakina protector mfano wa gorilla 3, ina resolution ndogo hivyo picha na video zitaonekana Kwa ubora WA kawaida, inapata tatizo la overheating ukifungua games kubwa ama apps zinazotumia resources nyingi, na wakati mwingine tatizo la ku stuck

Jaribu kucheza PUBG Mobile 2018, utagundua Hilo.

spidi ya network ni ndogo Kwa sababu 4g yake ni category 4 yaani 150mbps, kama Una laini ya halotel ya 4g test spidi halafu uone
Sawa
 
Kama a10s inakulizisha Kwa matumizi yako ni Sawa lakini ni simu yenye processor yenye uwezo WA Chini, kamera ya kawaida, haina fast charge, kioo chake hakina protector mfano wa gorilla 3, ina resolution ndogo hivyo picha na video zitaonekana Kwa ubora WA kawaida, inapata tatizo la overheating ukifungua games kubwa ama apps zinazotumia resources nyingi, na wakati mwingine tatizo la ku stuck

Jaribu kucheza PUBG Mobile 2018, utagundua Hilo.

spidi ya network ni ndogo Kwa sababu 4g yake ni category 4 yaani 150mbps, kama Una laini ya halotel ya 4g test spidi halafu uone
Nielekeze namna ya kuangalia network category kwenye simu. Nimehangaika sana nimekosa ufumbuzi natafuta simu angalau inayoanzia cat11 na kuendelea. Kwa maana router ya cat 11 bei inaanzia 350k kupanda.
 
Nielekeze namna ya kuangalia network category kwenye simu. Nimehangaika sana nimekosa ufumbuzi natafuta simu angalau inayoanzia cat11 na kuendelea. Kwa maana router ya cat 11 bei inaanzia 350k kupanda.
Angalia gsmarena ama weka app za kuangalia specs kama cpu Z kujua specs ya soc then google hio soc kupata specs zake za network.

Pia simu haina uwezo wa kucompete na Router ya Maana, Ita compete tu na hizi Mifi.

Simu za bei rahisi ambazo zina modem za maana ni mitumba ya Flagship za zamani, flagship za 2017 mpaka 2019 unapata chini ya laki 3 na zote zinazidi CAT 11 unapata Gigabit lte Kabisa.

Mfano flagship ya 2019 ni Cat 20, Flagship ya 2017 ni Cat 15,
 
Kama a10s inakulizisha Kwa matumizi yako ni Sawa lakini ni simu yenye processor yenye uwezo WA Chini, kamera ya kawaida, haina fast charge, kioo chake hakina protector mfano wa gorilla 3, ina resolution ndogo hivyo picha na video zitaonekana Kwa ubora WA kawaida, inapata tatizo la overheating ukifungua games kubwa ama apps zinazotumia resources nyingi, na wakati mwingine tatizo la ku stuck

Jaribu kucheza PUBG Mobile 2018, utagundua Hilo.

spidi ya network ni ndogo Kwa sababu 4g yake ni category 4 yaani 150mbps, kama Una laini ya halotel ya 4g test spidi halafu uone
Dadeki kweli kabisa
 
Ukitaka ufurahie Samsung usinunue iliyo chini ya angalau laki 5, Km uchumi wako ni wa kawaida km mimi pambana upate angalau zenye bei ya kati. Mfano mimi nlinunua A50 kwaka 2019 hadi leo iko fresh sana na sioni tatizo, iko updated android 11 km simu ya mwaka huu tu.

Bei haikupi kitu bora mzee. Umakini wako tu. Na pia kinaweza kuwa bora kwako ila hakina ubora ule wa kila mtu kuridhia
 
Bei haikupi kitu bora mzee. Umakini wako tu. Na pia kinaweza kuwa bora kwako ila hakina ubora ule wa kila mtu kuridhia
Vifaa siyo sawa na nguo za mitumba sheh kwamba kadri unavyosakura ndo utapata kali, kwamba upate simu ya 300k kali kuliko ya 900k kisa unajua kuchagua? Nijuavyo mimi specs kali znaeendana na mtonyo mrefu.
 
Back
Top Bottom