Nautico
JF-Expert Member
- Jul 28, 2017
- 345
- 804
A72 ni kinanda dukani bila 1.2m huipati,Nina bajeti ya 800-850k naombeni mnielekeze nikanunue simu ya specs zipi. Ila mimi ni mpenzi wa Samsung. A72 zipo au A71? Na ni bei gani?
A71 ni nzuri pia ni simu imegoma kushuka sokoni bei yake si chini ya 1m.

