MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,729
- 6,634
Nina bajeti ya 800-850k naombeni mnielekeze nikanunue simu ya specs zipi. Ila mimi ni mpenzi wa Samsung. A72 zipo au A71? Na ni bei gani?
Sasa nitafute ipi mkuu? Ninayo A70 ila imezimika tu ghafla leo na tatizo sijui ni nini na nimekaa nayo miaka miwili tuHizi A series ni mid range ndio maana haziko kwenye top quality
Sema tafuta hela hakuna finger print inakaa nyuma ya simu
Sasa nitafute ipi mkuu? Ninayo A70 ila imezimika tu ghafla leo na tatizo sijui ni nini na nimekaa nayo miaka miwili tu
Duh, mimi ina miaka miwili A10, kama mpya tuWatu kibao wanalia na A series hata iweje usinunue Samsung A maana ni tatizo unaweza kaa nayo mwaka halafu ikazima ghafla
Navyokwambia hapa kuna A imelala ndan ya begi ilizima hivyo hivyo
Duh, mimi ina miaka miwili A10, kama mpya tu
Nami A50 nlinunua june 2019 tena ikiwa android 9 saiv iko android 11, nasubiria ife nilete mrejeshoDuh, mimi ina miaka miwili A10, kama mpya tu

mimi nilinunua A70 around october 2019 ila juzi imezima tu ghafla na mpaka sasa haiwakiNami A50 nlinunua june 2019 tena ikiwa android 9 saiv iko android 11, nasubiria ife nilete mrejesho![]()
Oya nmeibiwa A20S vp naweza angaikia nkaipataKama a10s inakulizisha Kwa matumizi yako ni Sawa lakini ni simu yenye processor yenye uwezo WA Chini, kamera ya kawaida, haina fast charge, kioo chake hakina protector mfano wa gorilla 3, ina resolution ndogo hivyo picha na video zitaonekana Kwa ubora WA kawaida, inapata tatizo la overheating ukifungua games kubwa ama apps zinazotumia resources nyingi, na wakati mwingine tatizo la ku stuck
Jaribu kucheza PUBG Mobile 2018, utagundua Hilo.
spidi ya network ni ndogo Kwa sababu 4g yake ni category 4 yaani 150mbps, kama Una laini ya halotel ya 4g test spidi halafu uone
😅😅😅Nlijua labda n mm nilichelewa kuzifahamuHii Samsung A30 yenye miaka minne sokoni ni ya nchi gani mkuu maana nijuavyo mimi A30 ni simu ya mwaka 2019umeamua utupige na kitu kizito kichwani!
Umemjibu safi wamekariri msemo tafuta pesaSasa nitafute ipi mkuu? Ninayo A70 ila imezimika tu ghafla leo na tatizo sijui ni nini na nimekaa nayo miaka miwili tu
Kama huna ya ya kununua S series si bora ununue infinixWatu kibao wanalia na A series hata iweje usinunue Samsung A maana ni tatizo unaweza kaa nayo mwaka halafu ikazima ghafla
Navyokwambia hapa kuna A imelala ndan ya begi ilizima hivyo hivyo

Hizi zitaanza kutoka lini ndugu?Tunaosubiria Pi phone tujuane hapa tokea kwa Elon Musk
Ingia mtandaoni ucheki Ila tayari anakuja kumtoa iPhone sokoniHizi zitaanza kutoka lini ndugu?
Kama huna ya ya kununua S series si bora ununue infinix
Mnanunua midubwana kisa brand name halafu mnaishia kulia![]()
Pi phone zitakuwa na maajabu gani labda?Ingia mtandaoni ucheki Ila tayari anakuja kumtoa iPhone sokoni
Nunua infinix achana na midubwashaUsiongee ilimradi uonekane umeongea primary phone yangu sio Samsung na pia kuna wengine wana A70 zimezima sasa bei yake hapo angenunua infinix ngapi unavyoona


hii simu ni lowend sana mkuu, thamani yake around laki 2.Mkuu Chief-Mkwawa samahani kidogo naomba kujua zaidi kuhusu simu aina ya Blackview Max1 na pia simu gani nyingine ambayo ni projector phone yenye bei ya kawaida