Samsung wanatuibia kwenye hizi A

Samsung wanatuibia kwenye hizi A

Mkuu wengi wanaangalia brand na sio specifications... kuna tecno inaitwa Phantom X ni balaa ila ukimwambia mtu atakuambia situmii tecno.. ila bei ni mkasi inachezea 1.1m
Natumia phantom 8 since 2018, inapiga mzigo vizuri mnoo... Acha wapenda brand waendelee kupigwa.
 
Back
Top Bottom