Samsung Galaxy S20 Ultra ni hatari


Iphne zote hazina sd card slot?
 

Hapo kusema inakaa siku nzima sema kulingana na ww me nikishika hiyo inaeza isifike sa nane mchana 😁 sisi ndo watu pekee simu inaeza waka kioo mfulilizo bila kuzima for upto 6hrs kisha kinapumzika dk mbil ukienda chooni ukirud unaendelea tena😊😊
 

Sikulaumu sana kwa vile umeshazoea kutumia simu zenye majina kama ya Jehanam


Sent using IPhone X
 
Tatizo la huawei hana google support...kununua simu ya 2M+ afu unaanza kufanya sideload ya Google apps ni Nonsense.

Sent using Jamii Forums mobile app


Huawei kwa sasa ni za kukwepa kabisa hadi waweke mambo yao sawa na US...

For now, kwa ubora wa camera, battery life, performance nk....S20 au 11 Pro ni chaguo sahihi japo nadhani ni busara kusubiri Iphone 12 itakayokuwa na high refresh rate.
 
Iphone gani hyo umeona labd iwe ya kichina🤣🤣🤣


Sent from my iPhone using JamiiForums

Huoni kama nimeuliza
?? Sasa na zile zenye GB 16 na bado unanyimwa sd card slot unabaki ukichekelea kama mbumbumbu

Unakalia kusema wamekuja kitofauti
 
Ila to be honest. Iphone ni simu ambayo ipo consistent sana kwenye camera. Hasa upande wa video.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…