Samsung Galaxy S20 Ultra ni hatari

Samsung Galaxy S20 Ultra ni hatari

Mkuu hbr?
Nahitaji kioo/display cha/ya samsung S5 (SM G900P)..sasa nimeona lcd, amoled, super amoled nn tofauti yake kabla sijaungua..
Hlf lcd screen na touch screen na super amoled lcd ni sawa au tofauti?
Samsung S5 ina Super amoled, inamaana hicho lcd ni fake, wanaweza pia kuandika super Amoled na kikawa fake vile vile.

Kama unaweza zunguka zunguka kwa mafundi angalia kama utapata kioo genuine kizuri kutoka simu nyengine.

Na simu imeharibika kioo cha ndani ama cha nje tu?

Tofauti ya lcd na Amoled angalia hapa
Jifunze tofauti kati ya display za AMOLED na LCD
 
Na simu imeharibika kioo cha ndani ama cha nje tu?
Ni kioo cha ndani kama sijakosea kujibu!
Hii S5 ilianguka kwenye tiles na ikazima mazima, fundi akaniambia ni display imekufa hivyo nitafute mpya!

Kuna s6 edge + yenyew ilianguka pia kwenye tiles, kuna wino umevuja ndani na pia mwanga wa screen unacheza cheza, zote nimeambiwa ni display..je ni sahihi kote?
 
Ni kioo cha ndani kama sijakosea kujibu!
Hii S5 ilianguka kwenye tiles na ikazima mazima, fundi akaniambia ni display imekufa hivyo nitafute mpya!

Kuna s6 edge + yenyew ilianguka pia kwenye tiles, kuna wino umevuja ndani na pia mwanga wa screen unacheza cheza, zote nimeambiwa ni display..je ni sahihi kote?
Ndio mkuu ni sahihi
 
Ni kioo cha ndani kama sijakosea kujibu!
Hii S5 ilianguka kwenye tiles na ikazima mazima, fundi akaniambia ni display imekufa hivyo nitafute mpya!

Kuna s6 edge + yenyew ilianguka pia kwenye tiles, kuna wino umevuja ndani na pia mwanga wa screen unacheza cheza, zote nimeambiwa ni display..je ni sahihi kote?


Pia waweza ingia online Aliexpress ukaagizia kwa bei nzuri kabisa mzigo ukafika in 3 weeks na ukapeleka kwa fundi kukufungia tu

Tatizo bongo ujanja mwingi na anaweza kukufungia kioo cha LCD kwa bei ya Amoled
 
Pia waweza ingia online Aliexpress ukaagizia kwa bei nzuri kabisa mzigo ukafika in 3 weeks na ukapeleka kwa fundi kukufungia tu

Tatizo bongo ujanja mwingi na anaweza kukufungia kioo cha LCD kwa bei ya Amoled
Shida si ndy hiyo wanaeza andika tofauti na unachohitaji!

Hiv vioo ni ghali hata online hukohuko..
 
Ni kweli cheaf hapa natumia note 3 ina miaka 7 sasa ila sioni tatizo lolote ina android 4.4.2 battery life iko poa 100% nimenunua battery mpya 1 year warranty inakaa na chaji siku nzima. Performance yake ni nzuri kuliko hata midrange zinazotoka miaka hii iko faster sana. Kioo na kamera viko high quality naweza sema hii simu yaweza kuishi miaka mingi zaidi. Most important app zipo supported. Sioni haja yakutumia custom rom kwa kuwa mashine inapiga kazi fresh.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu! Ulinunua bei gani?
 
Hapo kusema inakaa siku nzima sema kulingana na ww me nikishika hiyo inaeza isifike sa nane mchana sisi ndo watu pekee simu inaeza waka kioo mfulilizo bila kuzima for upto 6hrs kisha kinapumzika dk mbil ukienda chooni ukirud unaendelea tena
Kwa jinsi unavyotumia bado hakuna simu imaweza kukaa hata 10 hours.Nyie ndo heavy user ila simu ikiweza kuvuka 6hour screen on time ni uwezo mkubwa pia. Cha msingi isizingue upige kazi zako mwanzo mwisho bila kuboreka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa jinsi unavyotumia bado hakuna simu imaweza kukaa hata 10 hours.Nyie ndo heavy user ila simu ikiweza kuvuka 6hour screen on time ni uwezo mkubwa pia. Cha msingi isizingue upige kazi zako mwanzo mwisho bila kuboreka

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna nokia 2.1 ndo naitumia kwa kazi ya net sana enyewe kipindi ikiwa na android 8.1ilkuwa hatari...net muda wote kioo hakizimi na pia haina any kind ya temperature unaeza jua huitumii imagine sa 9pm simu ina 31% hadi sa 2am ndo imebaki 8% ..but since update ya pie chaji iliongezeka kidogo kwa sasa inakula average ya 7.1% per hour up to 9% kwa lisaa kama utakuwa kwenye jua kali ambapo brightness itakuwa near full kama ni normal light inaeza shuka hadi 6% kwa lisaa

Nb: zote ni bila kioo kuzima

Still ni low end device kana perform vizuri ...
 
Back
Top Bottom