42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,835
- 8,874
Usilazimishe ufi***rwe kwa lazima
Sent using IPhone X
Ofcoz hii ni optimization nzur lakin sio mpya ya kushangaza...3969mah ni 4000 tu hiyo..na simu nying za Android zenye hyo 4000 zinakaa vzur sana..hii case sio mpya kwa Android..ndiomana nasema apple fan wao vitu vingi wanaona vipya wakt sio vipya kimsingi...hata darkmode naona wanavyoishangaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu
Mtu anasema haikafika hata 4000 afu ina 3969si ni elf nne hiyo
Huoni kama nimeuliza
?? Sasa na zile zenye GB 16 na bado unanyimwa sd card slot unabaki ukichekelea kama mbumbumbu
Unakalia kusema wamekuja kitofauti
11 pro max inakaa na charge kuliko simu nyingi unazozijui. Na haijafika hata 4000mAh
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi natafuta S20 ultra ya 16GB Ram na 512 Memory sijaipata hapa dar. Nimepita voda shops, tigo na Airtel shops hawana. Na baadhi ya maduka ya Samsung wana zile zan8gb kwa 128 ambazo sio chaguo langu.
Anayejua aniagizie duka. Sitaki za mkononi ( maduka hewa) please.
Sent using Jamii Forums mobile app
Iphone 11 pro max ni simu za chini?


Kuna baadhi ya snerio kwenye photos s20 ultra inazidiwa na simu za chini kama Iphone 11 pro max
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hbr?Kuna namna ya kuweka playatore, sio official.
Iphone 11 pro max ni simu za chini?
Kwa paper based specs. Iphone 11 pro max ni simu ya chini ukilinganisha na s20 ultra.Anazingua huyu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Iphone kutoweka sd card slot wamesaidia sana ndomana ni ngumu au sijawai ona sim ya iphone. Ikiwa affected na virus kama ma sim mengine. Kama 16Gb haikutoshi kuna option zngne za cm ila mm 16gb inanitosha sana coz naweka nyimbo tu kama naweka porno ndo ndogo
Sent from my iPhone using JamiiForums
![]()
Hivi bado virus inatafuna simu via memory card....sijawah kuwa affected na virus kwenye simu yangu yoyote
Hujanielewa.
Tukilinganisha specs on paper. Iphone 11pro max ni simu ya chini ukilinganisha na s20 ultra. Unakwama wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Afu we binti unaonekana bado mbichi kabisa