Samsung Galaxy S20 Ultra ni hatari

Samsung Galaxy S20 Ultra ni hatari

yeah kwa sasa unaambiwa s20 ni kisanga hakuna simu ya kuifananisha nayo ila hiyo iPhone 12 inakuja kufunika kila ktu sasa
Wakuu wanajukwaa habari zenu,

Ni siku kadhaa zimepita tangu Samsung Galaxy walaunch Samsung S20. Ni simu ambayo imeonesha kuvunja record hasa kwenye camera, System operating nk. Na wamemfunika iphone 11 mbali.

Je ni kitu gani hujakipenda kwenye samsung S20? Lets discuss about S20 Ultra

View attachment 1379101

Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzer ukija kwenye masuala ya kucopy kila mtu anamcopy mwenzie kutokana na kukua kwa technology sio kwenye cm tu hata kwenye other products tunaona kutokana na competition ilivo


Sent from my iPhone using JamiiForums
Sasa unajijibu mwenyew sio? Mana hicho ndio ulikisema na mim ndio nikakwambia hakuna jipya sio kila kitu utaanzisha ww...na ndomana nawao wna copy kama kawa..unafeli wapi mkuu mbna unajibu tofaut kila point?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
S20 ina mp 108 alafu iPhone 11 pro 12mp...cha kushangaza picha ya iliopigwa na hio 11 pro ni kali kuliko ya S20 ..sasa najiuliza siku iPhone watokea camera ya mp 48 tuh ...si itakua zaid ya balaaa

Sent using Jamii Forums mobile app


Kiwango cha pixels hakimaanishi ubora wa picha...na kumbuka wanatumia pixel binning kutoa picha yenye 12MP

Japo ukipiga picha itoke na 108MP inakuwa na details zaidi japo kwa mtumiaji wa kawaida haina faida yoyote.
 
Wakuu wanajukwaa habari zenu,

Ni siku kadhaa zimepita tangu Samsung Galaxy walaunch Samsung S20. Ni simu ambayo imeonesha kuvunja record hasa kwenye camera, System operating nk. Na wamemfunika iphone 11 mbali.

Je ni kitu gani hujakipenda kwenye samsung S20? Lets discuss about S20 Ultra

View attachment 1379101

Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu
Vipi kuhusu Samsung Galaxy A10. Ina ubora kiasi gani ?
 
Mkuu
Vipi kuhusu Samsung Galaxy A10. Ina ubora kiasi gani ?

Samsung niliacha tumia 2014 ila nilitumia 2018 nikiwa na s7 edge plus ikazingua scren nkadamp mpaka leo natumia iphone ni ngumu ila samsung so durable zinazingua sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Oppo wanajitahidi ila hawana ubavu wa kushindana na Samsung kutengeneza Flagship. Flagship za Samsung ni nzuri all Around kuanzia quality ya vioo, software, camera, mics, etc.

Kwa kampuni za kichina kama unataka kununua Flagship tafuta oneplus ya Dola 400 utulie, ila kutoa dola 1000 kununua ni kupoteza tu hela.
Ni kweli cheaf hapa natumia note 3 ina miaka 7 sasa ila sioni tatizo lolote ina android 4.4.2 battery life iko poa 100% nimenunua battery mpya 1 year warranty inakaa na chaji siku nzima. Performance yake ni nzuri kuliko hata midrange zinazotoka miaka hii iko faster sana. Kioo na kamera viko high quality naweza sema hii simu yaweza kuishi miaka mingi zaidi. Most important app zipo supported. Sioni haja yakutumia custom rom kwa kuwa mashine inapiga kazi fresh.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dhuu basi tunatofautiana sana....nasikia tu mambo ya camera sijasikia mtu kagusa kwenye kitu kinachofanya labda nipende simu flani.....

Camera isnt my first look....a high 8mp camera ya brand kubwa resolution za kutosha size ya picture 2 to 3.5mb per picture ni more than enough for me ....where nikimtumia mtu yoyote kwake pia zitaonekana vizuri
 
Tangia niamie kwenye iPhone sitaki tena kurudi ccm(Samsung)wala ujinga wowote wa android


Sent using IPhone X


Kila anacho akipendacho we are not robot kwamba tuko programmed kupenda kitu fulani...mfano wewe maamuzi yako umeona ni kitu kizuri but kwangu me sijawahi penda i phne yoyote ile naona ka ni yebo yebo siku hzi kila mtu anazijua en pia siko comfortable kutembea huku naongea na simu kisha labda kale ka apple kanaonekana au nimekaa kwenye gari mtu aone kisha aniulize hiyo i phne gani😶😶 sipendi i like to be unique ....sipendi ona simu nayotumia inauzwa uzwa ovyo huko kwenye matangazo ya facebook au insta kama iphone au samsung ..napenda mtu aione kwangu na iwe hajawah ona popote yani ukiiona huwezi jua ni model gani hadi nikwambie mimi thats all
 
Back
Top Bottom