kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,526
- 8,030
Kuna chuma kinaitwa Oppo find X2 PRO. Huyo samsung akalale.
Wakati samsung s20 ultra anaweka 120Hz kwa FHD
Oppo find x2 pro anakuwekea 120Hz kwa QHD+
Sijataka kugusa maeneo mengine...
Halafu kuna mnyama mwingine anakuja tar 26 mwezi huu. Huawei p40 pro premium.View attachment 1390027
Sent using Jamii Forums mobile app
Iphone 12 inaweza kuwa balaaa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nimecheka kifala!Ma camera utadhani lile kombora la Anord Schwarzenegger katika cinema ya Comando hapo ndo wamefeli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiv hiz mate 30 pro zenye playstore inakuaje au kuna ujanja wanafanya kuziweka au walitoa zenye playstore pia?Hizi pro mkuu mara nyingi ni namna ya kutoza watu hela nyingi, kama oneplus ya kawaida itakuja na sd 865 inatosha, cha muhimu ni soc ram ya 12gb na 8gb kwa mtu wa kawaida haina maana sana, na difference nyengine zinakuwa hazina maana sana.
Hata hizi samsung hii s20 ultra haina jambo lolote la maana linalofanya ulipe milioni zaidi ya s20/20 plus.
Kuna namna ya kuweka playatore, sio official.Hiv hiz mate 30 pro zenye playstore inakuaje au kuna ujanja wanafanya kuziweka au walitoa zenye playstore pia?
Iphone 11 si apple fan wakaanza shangaa zile camera mana ni kitu kipya kwao..so lazma tu walikua na ham
Sent using Jamii Forums mobile app



Kwenye 12 tunasikilizia zaidi ToF camera, high refresh rate, improved battery performance japo 11 ipo vizuri sana.
Alikuja na utofaut upi sasaTeh apple alikuja kitofauti sana kwenye industry ndomanaa kawin markt, binafsi kwangu apple ndo best phones hta kwenye durability
Sent from my iPhone using JamiiForums

Kipindi Apple wanatoa ios Android haipoIphone alikuja na muundo wa home button tu ila option zingine unazitumia ndan ya cm, iphone alikuja na intenal capacity tu no other external kama sim zingine, iphone alikuja na ios hakutaka android... kadri siku zilivozid kwenda tukaanza ona cm zngine wanacopy
Sent from my iPhone using JamiiForums
11 pro labda ila 11 plain ipo chin kwa Xs max
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuuliza sio ujinga oneplus ni kampuni gani huyuKuna namna ya kuweka playatore, sio official.
We baki hukohuko shami!Kuuliza sio ujinga oneplus ni kampuni gani huyu

Iphone alikuja na muundo wa home button tu ila option zingine unazitumia ndan ya cm, iphone alikuja na intenal capacity tu no other external kama sim zingine, iphone alikuja na ios hakutaka android... kadri siku zilivozid kwenda tukaanza ona cm zngine wanacopy
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ni kampuni dada ya Kina oppo na Vivo, yenyewe inatengeneza simu za highend kwa bei nafuu. Simu zao ni maarufu kwa kuwa na processor zenye nguvu, storage kubwa na ram kubwa.Kuuliza sio ujinga oneplus ni kampuni gani huyu
One plus simu flan hivi ambazo aziongelewi sana,lakini ndani yake ni zaidi ya beast
Kuna siku nilijaribu kuzoom kwa camera ya one plus 7t pro na huawei mate 20 pro,7t pro iliiacha mbali 20 proNi kampuni dada ya Kina oppo na Vivo, yenyewe inatengeneza simu za highend kwa bei nafuu. Simu zao ni maarufu kwa kuwa na processor zenye nguvu, storage kubwa na ram kubwa.
Ni gen 2 tofauti, op7 mwenzake ni p30 na mate 30.Kuna siku nilijaribu kuzoom kwa camera ya one plus 7t pro na huawei mate 20 pro,7t pro iliiacha mbali 20 pro
Huo ndio utofaut wa iphone 11? Mbona umechochora mkuu..alaf sio kila tech ame invent yeye...kuna meng nayeye kacopy na kachelewa sana...
Camera layout ya iPhone 11 kacopy
Notch nayeye sio wa kwanza
Dark mode ndio mnaiskia skuiz
Wide angle ndio mnaiskia saiz
Yani mengi tu...sasa nmekuulza ina upya gan hyo iPhone 11 umeanza kuongea hom button
Sent using Jamii Forums mobile app