Samsung Galaxy S20 Ultra ni hatari

Samsung Galaxy S20 Ultra ni hatari

Mimi natafuta S20 ultra ya 16GB Ram na 512 Memory sijaipata hapa dar. Nimepita voda shops, tigo na Airtel shops hawana. Na baadhi ya maduka ya Samsung wana zile zan8gb kwa 128 ambazo sio chaguo langu.

Anayejua aniagizie duka. Sitaki za mkononi ( maduka hewa) please.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
11 pro max inakaa na charge kuliko simu nyingi unazozijui. Na haijafika hata 4000mAh

Sent using Jamii Forums mobile app
Ofcoz hii ni optimization nzur lakin sio mpya ya kushangaza...3969mah ni 4000 tu hiyo..na simu nying za Android zenye hyo 4000 zinakaa vzur sana..hii case sio mpya kwa Android..ndiomana nasema apple fan wao vitu vingi wanaona vipya wakt sio vipya kimsingi...hata darkmode naona wanavyoishangaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom