The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 5,082
- 20,798
Battery issue ni mambo yalishapitwa na muda miaka mingi mkuu, wewe bado unawaza kuhusu note 7?
Battery issue ni mambo yalishapitwa na muda miaka mingi mkuu, wewe bado unawaza kuhusu note 7?
Kwenye mobile phone technology wamefikia mwisho, hakuna technolojia mpya kwa miaka hii ya hivi karibuni hivyo ubunifu umehamia kwenye camera, screen size nk.Ni kweli hata haijapata shangwe ya s10 pia nahisi huu mwaka uko kasi sana na ubize ni mwingi
Uko sahihi tusubiri kushika professional cam through mobile phonesKwenye mobile phone technology wamefikia mwisho, hakuna techmolojia mpya kwa miaka hii ya hivi karibuni hivyo ubunifu umehamia kwenye camera, screen size nk.
Unapenda dizain ipi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwenye mobile phone technology wamefikia mwisho, hakuna technolojia mpya kwa miaka hii ya hivi karibuni hivyo ubunifu umehamia kwenye camera, screen size nk.
48 na 12 hazina tofauti?!Waje na smartphone zinazokaa na chaji week nzima
Kwenye camera sidhani kama kuna cha ziada kinahitajika kwa mfano mm natumia simu yenye camera 48mp lakini sioni tofauti na simu yenye 12mp
48mp ya A50s vs 12mp ya S948 na 12 hazina tofauti?!
Labda brand ya tecnology ila sio zile nazojua mm
Hakuna mwenye nayo hapa






Haziwezi kua sawa pixel ya s9 bdo zipo juu48mp ya A50s vs 12mp ya S9
Kipindi hicho ilikuwa bado
Mkuu taratibu jamani, ni mimi na wewe tu ndio hatuwezi kuimiliki ila kuna watu wana mavumba yao humu.
Waje na smartphone zinazokaa na chaji week nzima
Kwenye camera sidhani kama kuna cha ziada kinahitajika kwa mfano mm natumia simu yenye camera 48mp lakini sioni tofauti na simu yenye 12mp
NdiyoUnaelewa maana ya mp kweny camera..
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
Waje na smartphone zinazokaa na chaji week nzima
Kwenye camera sidhani kama kuna cha ziada kinahitajika kwa mfano mm natumia simu yenye camera 48mp lakini sioni tofauti na simu yenye 12mp
Auntie na mimi niongeze hapo naishia kuwasoma tu watu wanaomiliki masimu ya mabei makubwa tu humu jf
Mkuu taratibu jamani, ni mimi na wewe tu ndio hatuwezi kuimiliki ila kuna watu wana mavumba yao humu.
aisee hiyo siyo simu bali ni camera ambayo ina umbo la simu.


Auntie na mimi niongeze hapo naishia kuwasoma tu watu wanaomiliki masimu ya mabei makubwa tu humu jf




