Simu yoyote ikiwa mpya hua inakua hivyo angalia baada ya miezi 6- 12 hapo ndo unaweza sema simu hii ipo vipiNiko na A50 imesimama kinoma battery camera na internal storage yake ya 128 gb ndiyo nimeilewa
Laki3 fastaAnahitaji, Samsung A30 Anione nimpe kwa 450,000 Kuna mtu nilimchukulia, anatanga anizungue kwenye pesa, Haijatumika kabisa, imenunuli Tarehe 12 jun unaikagua kwanza ikilidhika unalipia.
Tufanye biashara mkuuMi samsung siku hizi kero tupu, yan nanunua simu laki 4+ alafu haina feature ndogo tu kama ya screen mirroring wakati hadi itel hiyo feature wameweka. So disappointed na J4 plus, naimani hata hizo A10, 20 hazina vitu vingi maana naona wame concetrate kwenye aesthetics kuliko features. Wanataka mionekano ya infinity display na waterdrop za vioo zivutie nje tu.
Juzi J4 plus nimepata OS mpya android 9 pie, ikiwa na One UI nikahsi hiyo feature itakuja sasa hola.
Mwenye 280k alete nimpa J4 plus mint condition na risit yake juu.[emoji17][emoji17]
Tufanye biashara mkuu
Hivi Nokia, Huawei, Xiaomi mtengenezaji si mmoja (Foxconn) au?Jamii ya kina xiaomi,
Mkuu umeipata kwa bei gani Nairobi? (A50)Niaje wakuu, Nimetumia A50 4gb/128gb kwa takribani wiki ya tatu sasa. Nilinunua kenya.
Mazuri
1. Design nzuri
2. Kioo cha kisasa cha super amoled
3. Ina mambo mengi kama flagship brands ukizingatia bei yake. Kiufupi samsung linapokuja ishu ya software wako vizuri sana
4. inachaji kwa haraka sana. ndani ya dk 40-45 inakuwa imejaa
5. Storage kubwa ya 128gb
Mapungufu
1. Haikai sana chaji hasa ukiwa unatumia internet(light browsing mf twitter, whatsapp, ). Inashangaza ukizangatia ina battery kubwa ya 4000mah
2. Iko very delicate sana hasa kioo, inahitaji uangalifu mkubwa sana
3. Ubora wa camera uko chini sana. ila watu wengi wanashauri kuinstall GCAM ila sijaribu
Kwa mtumiaji wa simu ya kawaida ni sawa, ila ukiondoa swala la battery na camera ni simu nzuri sana kulingana na bei yake
Nokia hazitengenezwi na foxconn wenyewe bali subsidiary yake inaitwa FIH, viwanda vya zamani vya Nokia ndio vinaitwa FIH.Hivi Nokia, Huawei, Xiaomi mtengenezaji si mmoja (Foxconn) au?
Nimekuelewa mkuuNokia hazitengenezwi na foxconn wenyewe bali subsidiary yake inaitwa FIH, viwanda vya zamani vya Nokia ndio vinaitwa FIH.
Na Hao wengine wanatengeneza foxconn ndio sema kampuni kubwa hazitegemei mtengenezaji mmoja tu, wanakuwa na source mbalimbali.
J7 prime na Pro zote zinatunza charge sana ila Pro tatizo lake kioo kiko delicate sana.Okay
Wadau wengi wanasema pro iko vizuri kwenye j series
Kuna uhaba wa protector za vioo vya curve, wengi wanaleta generic protector ukiweka hazifit vizuri.J7 prime na Pro zote zinatunza charge sana ila Pro tatizo lake kioo kiko delicate sana.
Processor yange ina nguvu sana mkuu, ila ram 2gb tu, hakuna maajabu itakwama tu hasa vile umewahi tumia simu kama s7.
Kuna uhaba wa protector za vioo vya curve, wengi wanaleta generic protector ukiweka hazifit vizuri.
Kwamba hizo sumsung zenu zinakaa na chaji kuzidi hii tecno l8 yangu?
Inategemea unaidondosha vipi na inatua vipi mkuu, hujawahi kwenda dukani ukakuta mhindi anadondosha sahani ya dongo na haipasuki? Ila ukifika wewe ukijaribu inapasuka.Mkuu mimi nawashangaa sana watu wanapolalamikia kupasuka vioo kwa Samsung, asee mimi nakataa, huku Africa tunauziwa feki sana japo tunayaona mazuri
Nilinunua simu Samsung 6edge plus USA(Niliagiza) mwaka 2017 asee niliweka protector sense yake ikapungua nikaitoa, NASEMA hivi nimeiangusha mara isiyo na idadi tena kwenye kila aina ya sakafu lakini haijawahi pasuka wala kutoa cracks,
Siku moja nilikandamiza kwenye edge ya skirting bila kujua kwa muda mrefu nilikuta ka cracks kadogo sana na unaweza hata usikaone
Nikitaka kubadilisha simu nitaagiza nje tu, za humu inchini ni feki
Inategemea unaidondosha vipi na inatua vipi mkuu, hujawahi kwenda dukani ukakuta mhindi anadondosha sahani ya dongo na haipasuki? Ila ukifika wewe ukijaribu inapasuka.
Huku Africa kiujumla adui mkubwa ni vumbi, ndani ya vumbi kuna Quartz ambayo inakwangua kirahisi material yanayotumika kwenye simu na kufanya Gorilla glass iwe useless.
Pia ukidondosha eneo ambalo sio flat lenye ncha yoyote inapasuka kirahisi tu,
Huwa ikidondokea kwenye pembe mule inavumilia zaidiBroo kwenye tiles, zege na rough surface kama hizo
Afu hizi samsung hata isipodondokea kioo lazima itoe cracks kioo chote
Huwa ikidondokea kwenye pembe mule inavumilia zaidi
Sijawahi kuona curved screen protector.Unaweza kuniwekea picha yake niione.Kuna uhaba wa protector za vioo vya curve, wengi wanaleta generic protector ukiweka hazifit vizuri.
Sijawahi kuona curved screen protector.Unaweza kuniwekea picha yake niione.