EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 8,558
- 12,683
Naona mmekariri tu ,kwamba zipo kama tecno, embu lete facts zinazofanya hizi simu zilingane!Bro A10 ni kma Tecno tu. Sema tu samsung software yao ni nzuri sana kuliko ya Tecno
Naona mmekariri tu ,kwamba zipo kama tecno, embu lete facts zinazofanya hizi simu zilingane!Bro A10 ni kma Tecno tu. Sema tu samsung software yao ni nzuri sana kuliko ya Tecno
hii ni samsung iliyotengenezwa na kampuni ya tecno.Samsung grand prime + hii ipo kundi gani msaada tafadhali
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
unazungumzia a10s,10,11,01.Hizo A display hamna kitu, zipo nyeupe kama nguo tu
Una maana gani?hii ni samsung iliyotengenezwa na kampuni ya tecno.
si unaona ilivyo mbovu
Ye kakwambia A10 mpka A21 sasa hiyo 21 kakwambia nanNinamiliki A21s charge 24hrs no kuzima data no bullshit
Ipo kundi gani ni A series, Note au S?si unaona ilivyo mbovu
hii ilitoka yenyewe 2014,haipo hata kwenye j series.
Trust me ndio saiz umenifungua kwamba hakuniweka kwa group moja na wanyonge asante Happy Uhuni dayYe kakwambia A10 mpka A21 sasa hiyo 21 kakwambia nan
Ungeelezea na mapungufu yake ingependeza zaidi.Hzo a10s,a20s miyeyusho.tumia a kavu.tena anzia a20 na kuendelea utojutia.kioo super amoled,fast charge n.k.but dukan hazipo asahv.utakutana na izo za AS ambazo ni kimeo.
24hrs duh.... Mbona ni kama unajivunia hivi wakati hiyo ni ndogo sana kwa smartphone za kisasaNinamiliki A21s charge 24hrs no kuzima data no bullshit
Unatumia charger ya aina gani?Ninamiliki A21s charge 24hrs no kuzima data no bullshit
16s haina fast charging, Kanunue chaja za oraimo/mango/infinix around 8000 agrey kkoo.Unatumia charger ya aina gani?
Nina camon 16s charger og haipo nasumbuka kuchaji
Asante sana mkuu umenisaidia mno!!16s haina fast charging, Kanunue chaja za oraimo/mango/infinix around 8000 agrey kkoo.
Kwa hili, nakuunga mkono. Nina A21 na Note 3. Kuna vitu vingi ambavyo havipo kwenye A series ya mwaka jana, ukilinganisha na Note series niliyotaja abayo ni ya 2014. Kuna mahali nadhani Samsung kwenye hizi A series hawajazitendea haki, ikiwemo camera. Walichoweza kikubwa ni battery, zinadumu muda mrefu sana.Yuko sahihi...A series ni Midrange phones...so haziwezi kuwa sawa na flagship kama S na Note series
Hata uwe na a90 hutopata vitu utanavyopata kweny s na note za miaka sawa.
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
A series kubwa kama A5x, A7x etc zinakuja na same one ui, sema kuna vitu wana reserve kwa Simu zao za bei ya juu kama dex.Kwa hili, nakuunga mkono. Nina A21 na Note 3. Kuna vitu vingi ambavyo havipo kwenye A series ya mwaka jana, ukilinganisha na Note series niliyotaja abayo ni ya 2014. Kuna mahali nadhani Samsung kwenye hizi A series hawajazitendea haki, ikiwemo camera. Walichoweza kikubwa ni battery, zinadumu muda mrefu sana.
Unatakiwa uangalie changelog, labda click hapo learn more utaona ni software ya nini na itaongeza nini kwenye simu yako.Asante sana mkuu umenisaidia mno!!
Je, na hii nayo kuna umuhimu wa ku install?
View attachment 1760626