Samsung "A series" ni simu zenye ubora hafifu; kuwa makini

wewe unayumba aisee.

hivi kwa chini ya milioni,unaweza pata simu gani ya mwaka husika kutoka kampuni za maana inayoweza kukupa feachure za juu kila sehemu!!!!.
 
Kwa wale wanaotaka kubadili brand na kwenda brand maaarufu kama Samsung kuweni makini hasa kwenye Samsung A series". Ukifuatilia kwa makini utagundua kampuni ya Samsung wametoa A series kwa ajili ya wateja wanaotaka kumiliki brand ya Samsung ila bajet yao ndogo ila kiukweli Samsung A series inazidiwa ubora na simu nying za "low end"
Samsung wametoa A series ambazo bei zake zipo chini around 320k-370k kwa A10s na A20s. Simu hizi nimezitumia na zina madhaifu yafuatayo
1.Dispaly" ki ukweli display zake ni low quality ukilinganisha na brand nyingine za Samsung kama "S series" ukiingalia display bila kuangalia jina unaweza jua Tecno au Infinix
2. Network hizi simu zina 4G ila hazina kasi kabisa. Unaweza washa data na isirespond mpaka urestart simu ndo inakubali.
3.haina "Front flash" ni ajabu Samsung kutoa simu ya 370k haina flash ya mbele. Sahau kupiga selfie usiku.
4.camera hafifu hizi simu zina camera hafifu ambapo ukipiga kwenye giza inatoa picha yenye rangi ya maziwa hivyo kuharibu ubora wa picha. Picha za usiku sahau kabisa
Samsung walichojitahidi hasa ni uwezi wa Betri ambayo kwa wastani inakaaa vizur na chaji.

NB;Kama ubataka kubadili brand ya simu kwenda Samsung ni bora ukatafuta brand nyingine kama "S series" ila sio "A series". Utachofaidi ni brand ya "SAMSUNG tuu"

A series ni product ya india na project ya india
 
Natumia Samsung A10 kwa kweli ipo tofauti na TECNO nilizowahi kutumia huko nyuma.

Ila kwenye kipengele cha kuchelewa kuconnect data nakubaliana na wewe wakati mwingine unaweza ukaunga bando la MB lakini bado simu inakuambia hauna data.

Ni simu nzuri kwa sisi wenye kipato cha chini. Hata mtu simshauri achukue TECNO.

Hii Samsung A10 naona ipo vizuri sana kwenye Camera mchana tofauti na TECNO.
 
Dah mtoa mada hufai hata kuwa dagaa,A10 yangu nimeiangalia hapa nimeona kama nimeshika tecno
 
Ila kwenye kipengele cha kuchelewa kuconnect data nakubaliana na wewe wakati mwingine unaweza ukaunga bando la MB lakini bado simu inakuambia hauna data.

Nadhani hii ipo kwenye Samsung zote, nipo kwenye S series na hunitokea hili tatizo kama nikitumia Mobile data badala ya WIFI, inanilazimu ni restart simu ndio nakua connected tena, nimeshaijulia so hua hainisumbui.
 
Mkuu,

Sitatumia tecno wala infinix tenaaaa... bore nitumie A01 kuliko tecno au infinix..yani mateso ya cm inaita unaiona lin haipokeleki siyataki
Na kufungua na kufunga mafaili yenyewe
 
Nadhani hii ipo kwenye Samsung zote, nipo kwenye S series na hunitokea hili tatizo kama nikitumia Mobile data badala ya WIFI, inanilazimu ni restart simu ndio nakua connected tena, nimeshaijulia so hua hainisumbui.
Haina haja ya kurestart simu unachotakiwa kufanya ni kuweka Flight Mode ON then OFF ....... itakuwa connected tena
 
Kwa wale wanaotaka kubadili brand na kwenda brand maaarufu kama Samsung kuweni makini hasa kwenye Samsung A series". Ukifuatilia kwa makini utagundua kampuni ya Samsung wametoa A series kwa ajili ya wateja wanaotaka kumiliki brand ya Samsung ila bajet yao ndogo ila kiukweli Samsung A series inazidiwa ubora na simu nying za "low end"
Samsung wametoa A series ambazo bei zake zipo chini around 320k-370k kwa A10s na A20s. Simu hizi nimezitumia na zina madhaifu yafuatayo
1.Dispaly" ki ukweli display zake ni low quality ukilinganisha na brand nyingine za Samsung kama "S series" ukiingalia display bila kuangalia jina unaweza jua Tecno au Infinix
2. Network hizi simu zina 4G ila hazina kasi kabisa. Unaweza washa data na isirespond mpaka urestart simu ndo inakubali.
3.haina "Front flash" ni ajabu Samsung kutoa simu ya 370k haina flash ya mbele. Sahau kupiga selfie usiku.
4.camera hafifu hizi simu zina camera hafifu ambapo ukipiga kwenye giza inatoa picha yenye rangi ya maziwa hivyo kuharibu ubora wa picha. Picha za usiku sahau kabisa
Samsung walichojitahidi hasa ni uwezi wa Betri ambayo kwa wastani inakaaa vizur na chaji.

NB;Kama ubataka kubadili brand ya simu kwenda Samsung ni bora ukatafuta brand nyingine kama "S series" ila sio "A series". Utachofaidi ni brand ya "SAMSUNG tuu"
Mtu anajikuna mkono unapofika
 
A series kuanzia A30 kwenda juu ziko poa sana. Hzo A10 ni kma Tecno tu iliyochangamka
A10 kama tecno? We ulisikia wapi?.A series zote zisizo na (s) ni nzuri sana.zimepotea madukani pia.
 
Natumia Samsung A10 kwa kweli ipo tofauti na TECNO nilizowahi kutumia huko nyuma.

Ila kwenye kipengele cha kuchelewa kuconnect data nakubaliana na wewe wakati mwingine unaweza ukaunga bando la MB lakini bado simu inakuambia hauna data.

Ni simu nzuri kwa sisi wenye kipato cha chini. Hata mtu simshauri achukue TECNO.

Hii Samsung A10 naona ipo vizuri sana kwenye Camera mchana tofauti na TECNO.
Hapo ukiunga bando inatakiwe uweke airplane mode sekunde chache ndio urudi huku kwenye data,ni maujanja tu kidogo,
 
Nadhani hii ipo kwenye Samsung zote, nipo kwenye S series na hunitokea hili tatizo kama nikitumia Mobile data badala ya WIFI, inanilazimu ni restart simu ndio nakua connected tena, nimeshaijulia so hua hainisumbui.
Airplane mode tu inatosha.
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom