nimebadika juzi
Senior Member
- May 29, 2015
- 183
- 29
Hata kama Nape aliongea ki hoax za kisiasa Samson hapashwi kuyarudia mambo ambayo hayakua ajenda na kuyaandalia kipindi maalum. Utake usitake wanaomtuma watamkataa siku yakimkuta.
namkubali sana samsoni anasema ukwel uuwez ukamzuia mtu kuzungumza uupuz aliousema nape