Samson wa Hotmix EATV ni mchochezi

Samson wa Hotmix EATV ni mchochezi

Hata kama Nape aliongea ki hoax za kisiasa Samson hapashwi kuyarudia mambo ambayo hayakua ajenda na kuyaandalia kipindi maalum. Utake usitake wanaomtuma watamkataa siku yakimkuta.

namkubali sana samsoni anasema ukwel uuwez ukamzuia mtu kuzungumza uupuz aliousema nape
 
Kauli ya mwinyi inahusika na matokeo ya uchaguzi mkuu?

pia imeshaingizwa kwenye hansadi itajirudia miaka yote kama maneno ya mwny na nyerer pia mkapa kwa io inategemea vp amelitumia na wap na kwa wakati gan ...ulikua c mda wa kuongea upuuz ule
 
Dah! Nilikua sijui kwamba mtu akisema ukweli ana mahaba na CHADEMA. Kwa hiyo ulitaka asionyeshe hizo picha ili awaridhishe nyie kwamba ni mtu wenu?
 
Jioni hii anazungumzia michezo lakini kwa mahaba yake ya wazi kwa chadema anaamua kuleta topic ya kumtaja Nape na kuongelea habari za goli la mkono huku akiwa ameandaa picha za akina Maradona za miaka hiyo na kujifanya kuuliza kwamba Goli la mkono alilosema Nape eti ni kupata ushindi hata wa udanganyifu! My take: Jambo lilishajadiliwa kitambo na mwenyewe alishalitolea ufafanuzi iweje leo iwe ndio habari ya kila siku hapo eatv? lengo lake ni nini?

Tulia DAWA ikuingie BW*GE ww!
 
Jioni hii anazungumzia michezo lakini kwa mahaba yake ya wazi kwa chadema anaamua kuleta topic ya kumtaja Nape na kuongelea habari za goli la mkono huku akiwa ameandaa picha za akina Maradona za miaka hiyo na kujifanya kuuliza kwamba Goli la mkono alilosema Nape eti ni kupata ushindi hata wa udanganyifu! My take: Jambo lilishajadiliwa kitambo na mwenyewe alishalitolea ufafanuzi iweje leo iwe ndio habari ya kila siku hapo eatv? lengo lake ni nini?

Kuna tatizo gani kama akijadili hilo goli la mkono?? Mahaba yake na chadema yanakuhusu nini?? Km mtu amezoea kuropoka acha ajadiliwe....... Mbona wewe una mahaba na ccm na hakuna aliyekuuliza??? Acha fikra zako mgando ndg yangu....... Ukiwa na ujinga wako kichwani usitake na wenzake tuwe nao......
 
Jioni hii anazungumzia michezo lakini kwa mahaba yake ya wazi kwa chadema anaamua kuleta topic ya kumtaja Nape na kuongelea habari za goli la mkono huku akiwa ameandaa picha za akina Maradona za miaka hiyo na kujifanya kuuliza kwamba Goli la mkono alilosema Nape eti ni kupata ushindi hata wa udanganyifu! My take: Jambo lilishajadiliwa kitambo na mwenyewe alishalitolea ufafanuzi iweje leo iwe ndio habari ya kila siku hapo eatv? lengo lake ni nini?

sio watu wote ni wapumbavu kama ulivyo wewe.
nakushauri utazame tbc utakutana na habari unazozipenda wewe.
 
Jioni hii anazungumzia michezo lakini kwa mahaba yake ya wazi kwa chadema anaamua kuleta topic ya kumtaja Nape na kuongelea habari za goli la mkono huku akiwa ameandaa picha za akina Maradona za miaka hiyo na kujifanya kuuliza kwamba Goli la mkono alilosema Nape eti ni kupata ushindi hata wa udanganyifu! My take: Jambo lilishajadiliwa kitambo na mwenyewe alishalitolea ufafanuzi iweje leo iwe ndio habari ya kila siku hapo eatv? lengo lake ni nini?


KAMA KAWAIDI YENU WASAHAULIFU mbona mnagomba lengo ni kuwakumbusho si unaona leo umekumbuka unapokuwa na kumbukumbu ndio pia utakuwa na uwezo wa kuhoji
 
pia imeshaingizwa kwenye hansadi itajirudia miaka yote kama maneno ya mwny na nyerer pia mkapa kwa io inategemea vp amelitumia na wap na kwa wakati gan ...ulikua c mda wa kuongea upuuz ule

Acha upuuzi, tunajadili uchaguzi mkuu hapa we unaleta kauli za Mwinyi za michezo na unasema zimeingizwa kwe hansad! Hansad ipi hiyo!!?
 
[/B][/I][/COLOR]

KAMA KAWAIDI YENU WASAHAULIFU mbona mnagomba lengo ni kuwakumbusho si unaona leo umekumbuka unapokuwa na kumbukumbu ndio pia utakuwa na uwezo wa kuhoji

We mtetee tu, utakuja kumkataa baadae kidogo.
 
sio watu wote ni wapumbavu kama ulivyo wewe.
nakushauri utazame tbc utakutana na habari unazozipenda wewe.

Sidhani kama mleta uzi kasema hapendi kutazama eatv, naona anachesema ni kuhusu vipindi vyenye kuleta mustakbali hatarishi kwenye kipindi kijacho cha uchaguzi mkuu.
 
Jioni hii anazungumzia michezo lakini kwa mahaba yake ya wazi kwa chadema anaamua kuleta topic ya kumtaja Nape na kuongelea habari za goli la mkono huku akiwa ameandaa picha za akina Maradona za miaka hiyo na kujifanya kuuliza kwamba Goli la mkono alilosema Nape eti ni kupata ushindi hata wa udanganyifu! My take: Jambo lilishajadiliwa kitambo na mwenyewe alishalitolea ufafanuzi iweje leo iwe ndio habari ya kila siku hapo eatv? lengo lake ni nini?
we unavoshabikia liCCM lako na liTBC nani amekuandama....acha ushabiki fanya yako.
 
Back
Top Bottom