Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,708
- 4,577
- Thread starter
- #41
We wa ajabu kweli, simply a gander, badala ya kumlaumu Nape unamlaumu Samson? Stupidity at its best
Hata kama Nape aliongea ki hoax za kisiasa Samson hapashwi kuyarudia mambo ambayo hayakua ajenda na kuyaandalia kipindi maalum. Utake usitake wanaomtuma watamkataa siku yakimkuta.