Samson wa Hotmix EATV ni mchochezi

Samson wa Hotmix EATV ni mchochezi

We wa ajabu kweli, simply a gander, badala ya kumlaumu Nape unamlaumu Samson? Stupidity at its best

Hata kama Nape aliongea ki hoax za kisiasa Samson hapashwi kuyarudia mambo ambayo hayakua ajenda na kuyaandalia kipindi maalum. Utake usitake wanaomtuma watamkataa siku yakimkuta.
 
Umetumia nini kufikiria? jinsi yanavyo tumika maneno ya busara kuwapa watu heshima zao mara kwa mara na ndivyo itavyotumika kwa maneno ya kipuuzi kuwashusha heshima zao kwenye jamii. Nape alitamka hilo na halifutiki nasapoti na kwenye kampeni zenu za ccm sasa hivi acheni kutumia wosia wa baba wa taifa, tumieni kauli za Nape.

Hueleweki mkuu, habari za Rombo au?
 
Hivi kujadili kile alichokisema nape ndio kuwa na mahaba na chadema?Mleta mada cjaona uhusiano wa uchochezi na alichokisema samsom!Amechochea nini?

Amechochea wananchi wajiandae kukataa matokeo endapo ccm itashinda.
 
Mi nadhani wewe ndio mchochezi maana hii topic kuileta hapa ni kuongeza idadi hata ya ambao tulikuwa hatujui. Wengine tulimpuuza sana Nape ila unataka tuanze kumfuatilia. Alichosema ni kosa na linaweza kuchukuliwa kama ushahidi hapo baadae, usiwazibe watu midomo na kila mtanzania aachwe atoe maoni yake.

Samson anatumia vibaya HOTMIX kwa interests za upinzani, hajui madhara yake.Sijui utoto!
 
Ikiwa mpaka leo kauli ya Mwinyi "Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu" bado inajadiliwa itakuwa ya juzi kwa Nappe .

Kauli ya mwinyi inahusika na matokeo ya uchaguzi mkuu?
 
Hakika wewe hazikutoshi kama alivyo Nape. Maji yakishamwagika tena kwenye mchanga hayazoleki na watanzania walishaelewa msemaji wa chama alimanisha nini.

Basi na yeye angeelewa na kuishia hapo sio kupiga nduru.
 
Unaongea upuuzi gani wewe, kila mtu aliona hiyo habari ya kutaka kuihisisha cdm na viungo vya albino kwa bahati tu sijui ni nani alimkanya kamanda Msangi na ile habari haikurudiwa tena. Na si hilo tu ni mengi mmekuwa mkifanya propaganda za kizee kwani ndilo mlilobakiwa nalo.

Kwa hiyo habari haijarudiwa tena sio!
 
mleta mada umekula maharage ya wapi.?we ndo una mahaba na wezi wa rasilimali zetu.

Nani mwizi? Ukiambiwa uthibitishe unaleta gazeti mahakamani! chadomo bana!
 
Hapana, mwache aisifie chadema si ni amri ya kazini ili mkono uende kinywani,ila asituharibie Nchi.

Kwa Hiyo TBC inayoendeshwa kwa PAYE yangu kuisifia CCM wao ni kujenga Nchi sio ?
 
Kwa Hiyo TBC inayoendeshwa kwa PAYE yangu kuisifia CCM wao ni kujenga Nchi sio ?

Hata chadema wakishika dola TBC itawasifia tu kwa kuwa ni chombo cha serikali inayoongozwa na chama kitakachokua madarakani. Elewa hivyi ujitoe matongotongo.
 
mkuu ghost tafsiri ya "goli la mkono anayo nape"samsoni kasema goli la mkono ni kama la maradona hiyo ni tafsiri ya samsoni kila mtu ana haki ya kutoa tafsir anavyotaka lakini nape ndiyo wenye tafsiri halisi sasa usianze kutukana watu kwa kuwaita wachochezi ile hali ww hujakatazwa kutoa tafsiri yako na kama una ushahidi au ufafanuzi wa nape uweke hapa ili kufanya watu wasiendelee kutafsiri vinginevyo.
 
Hata chadema wakishika dola TBC itawasifia tu kwa kuwa ni chombo cha serikali inayoongozwa na chama kitakachokua madarakani. Elewa hivyi ujitoe matongotongo.

Kwa hiyo wewe tatizo lako kubwa ni CHADEMA kusifiwa ?
 
Amechochea wananchi wajiandae kukataa matokeo endapo ccm itashinda.

sasa hapo wakuwajibika ni Nape,kasema kwa domo lake maneno yale!Au ulitaka samson aseme Nape alisema goli la mkono ni ushindi wa haki na kweli!?duuuh akili za kiccm bhana,mbona kauli kama ''nchi haitatawalika'' huwa mnazirudia kuonesha mapungufu ya kiongozi husika aliyezungumza!
Do u hv to be this dumb simply bse u r one of them?
 
Jioni hii anazungumzia michezo lakini kwa mahaba yake ya wazi kwa chadema anaamua kuleta topic ya kumtaja Nape na kuongelea habari za goli la mkono huku akiwa ameandaa picha za akina Maradona za miaka hiyo na kujifanya kuuliza kwamba Goli la mkono alilosema Nape eti ni kupata ushindi hata wa udanganyifu! My take: Jambo lilishajadiliwa kitambo na mwenyewe alishalitolea ufafanuzi iweje leo iwe ndio habari ya kila siku hapo eatv? lengo lake ni nini?

Kosa lake nini?
 
Back
Top Bottom