Samson wa Hotmix EATV ni mchochezi

Samson wa Hotmix EATV ni mchochezi

Jioni hii anazungumzia michezo lakini kwa mahaba yake ya wazi kwa chadema anaamua kuleta topic ya kumtaja Nape na kuongelea habari za goli la mkono huku akiwa ameandaa picha za akina Maradona za miaka hiyo na kujifanya kuuliza kwamba Goli la mkono alilosema Nape eti ni kupata ushindi hata wa udanganyifu! My take: Jambo lilishajadiliwa kitambo na mwenyewe alishalitolea ufafanuzi iweje leo iwe ndio habari ya kila siku hapo eatv? lengo lake ni nini?

Mi nadhani wewe ndio mchochezi maana hii topic kuileta hapa ni kuongeza idadi hata ya ambao tulikuwa hatujui. Wengine tulimpuuza sana Nape ila unataka tuanze kumfuatilia. Alichosema ni kosa na linaweza kuchukuliwa kama ushahidi hapo baadae, usiwazibe watu midomo na kila mtanzania aachwe atoe maoni yake.
 
Ili mradi Nape alisema na hakusingiziwa
huwezi zuia watu wasijadili kauli hiyo hata kama ametoa ufafanuzi

Anapokua pale hawi mtu, bali kinakua ni chombo cha habari.
 
Tulia ww, hii tabia ya kipuuzi si ndio mnaitumia kila siku tbc1 kuwaonyesha viongozi wa upinzani na mikono ya albino? Ama unadhani tumesahau ule upuuzi wa kamanda Msangi siku ile. Tunajua mmejiandaa na wizi wa kura ni bahati mbaya mropokaji Nape katoa siri hadharani.

Mkuu usiongee bila ushahidi. Mimi nimemuona jana wewe lini?
 
Jioni hii anazungumzia michezo lakini kwa mahaba yake ya wazi kwa chadema anaamua kuleta topic ya kumtaja Nape na kuongelea habari za goli la mkono huku akiwa ameandaa picha za akina Maradona za miaka hiyo na kujifanya kuuliza kwamba Goli la mkono alilosema Nape eti ni kupata ushindi hata wa udanganyifu! My take: Jambo lilishajadiliwa kitambo na mwenyewe alishalitolea ufafanuzi iweje leo iwe ndio habari ya kila siku hapo eatv? lengo lake ni nini?

Ikiwa mpaka leo kauli ya Mwinyi "Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu" bado inajadiliwa itakuwa ya juzi kwa Nappe .
 
Jioni hii anazungumzia michezo lakini kwa mahaba yake ya wazi kwa chadema anaamua kuleta topic ya kumtaja Nape na kuongelea habari za goli la mkono huku akiwa ameandaa picha za akina Maradona za miaka hiyo na kujifanya kuuliza kwamba Goli la mkono alilosema Nape eti ni kupata ushindi hata wa udanganyifu! My take: Jambo lilishajadiliwa kitambo na mwenyewe alishalitolea ufafanuzi iweje leo iwe ndio habari ya kila siku hapo eatv? lengo lake ni nini?

Hakika wewe hazikutoshi kama alivyo Nape. Maji yakishamwagika tena kwenye mchanga hayazoleki na watanzania walishaelewa msemaji wa chama alimanisha nini.
 
Hivi kusema ukweli ni kuwa na mahala siku hizi!!!

Tatizo hufuatilii dunia inavyokwenda umegubikwa na uchadema tu. Kwa nini watangazaji wa Rwanda walipelekwa The Heague?
 
Mkuu usiongee bila ushahidi. Mimi nimemuona jana wewe lini?

Unaongea upuuzi gani wewe, kila mtu aliona hiyo habari ya kutaka kuihisisha cdm na viungo vya albino kwa bahati tu sijui ni nani alimkanya kamanda Msangi na ile habari haikurudiwa tena. Na si hilo tu ni mengi mmekuwa mkifanya propaganda za kizee kwani ndilo mlilobakiwa nalo.
 
Mleta mada mbona umeumia sana? Jee nape hakuumiza upande mwingine?

Kama ndio wewe jiandae kupelekwa mahakama ya uhalifu wa kivita baada ya uchaguzi.
 
Samson Mpuuze Hawa CHADOMO Wana Siasa Za Kitoto Kununua NGOs, Media, Wanaharakati Wa Amplify Agenda Zao Ili Waonekabe Wana Support.
Wakija Ballot Boxes Wanapigwa.
Isitoshe Hata ITV inajulikana kwa Mtu Yeyote Serious..., Labda Kipofu Tu

Umesema kweli
 
Unatumia Muda wako kumjadili mwandishi wa Habari /mtangazaji kwa kero ambayo hata Chama chako kimeitisha kikao kuilaaani? U must be crazy
 
sasa hapo samson kamde kakosea nini?kwani hayo maneno Nape hakuya zungumza?acha kutetea utumbo wewe wakati tunaibiwa rasilimali zetu na wachache ww unatetea ujinga

Ndio nasema aamue kuweka mic kando aingie kwenye siasa basi tujue moja
 
mleta mada umekula maharage ya wapi.?we ndo una mahaba na wezi wa rasilimali zetu.
 
Samson Mpuuze Hawa CHADOMO Wana Siasa Za Kitoto Kununua NGOs, Media, Wanaharakati Wa Amplify Agenda Zao Ili Waonekabe Wana Support.
Wakija Ballot Boxes Wanapigwa.
Isitoshe Hata ITV inajulikana kwa Mtu Yeyote Serious..., Labda Kipofu Tu

Tatizo una mawazo mgando yawezekana wewe ni wale wa BIG RESULT NOW. Upeo wako wa kudadavua na kuelewa mambo ni mdogo sana hvyo ni ngumu sana kumuelewa Samson.
 
Sasa uchochezi hapo uko wap?? we jamaa wewe!!

Maneno ya siasa jukwaani huwa mengi sana yeye ame quote kipande hicho bila ya kueleza mlolongo wa hotuba nzima! Kwani ndio ilikuwa mada kuu? yeye Somson ajiandae tu na The Heague genocide ikitokea.
 
Back
Top Bottom