Samson wa Hotmix EATV ni mchochezi

Samson wa Hotmix EATV ni mchochezi

aina ya watu wanao mskiliza huyo mtangazaj na kituo chenyewe ni chaga dema
 
Jioni hii anazungumzia michezo lakini kwa mahaba yake ya wazi kwa chadema anaamua kuleta topic ya kumtaja Nape na kuongelea habari za goli la mkono huku akiwa ameandaa picha za akina Maradona za miaka hiyo na kujifanya kuuliza kwamba Goli la mkono alilosema Nape eti ni kupata ushindi hata wa udanganyifu! My take: Jambo lilishajadiliwa kitambo na mwenyewe alishalitolea ufafanuzi iweje leo iwe ndio habari ya kila siku hapo eatv? lengo lake ni nini?

Kwa nchi inayojipambanua kuwa ni ya kidemokrasia hiyo kauli ya Nape katibu wa itikadi na uenezi sio kauli nzuri na ilitosha kumfukuza katika uongozi,lakini kwa sababu nchi hii inaongozwa tofauti na inavyohubiriwa wajinga kama wewe ndio huishabikia na kuona ni sahihi..Jinga wew
 
mkuu ghost tafsiri ya "goli la mkono anayo nape"samsoni kasema goli la mkono ni kama la maradona hiyo ni tafsiri ya samsoni kila mtu ana haki ya kutoa tafsir anavyotaka lakini nape ndiyo wenye tafsiri halisi sasa usianze kutukana watu kwa kuwaita wachochezi ile hali ww hujakatazwa kutoa tafsiri yako na kama una ushahidi au ufafanuzi wa nape uweke hapa ili kufanya watu wasiendelee kutafsiri vinginevyo.

Maoni yake kama "Samson" nayaheshimu sana, ila kumbuka sana, zamani tulikuwa na mihimili mikuu mitatu tu ya dola,
1.Legislature
2.Executive
3.Judiciary
Lakini kwa kupanuka kwa demokrasia kuna mhimili wa 4 umejiongeza wenyewe ambao ni MEDIA .
Sasa huyu mtangazaji anao uwanja mpana sana wa kuweza ku corrupt innocent mind za watu wasiojua vema siasa na wakamtafsiri tofauti na hatimaye majanga yakajitokeza. Ndio nikasema kama anapenda siasa achague moja basi, la sivyo impartiality itamuelemea katika kutoa habari.
 
Acha upuuzi, tunajadili uchaguzi mkuu hapa we unaleta kauli za Mwinyi za michezo na unasema zimeingizwa kwe hansad! Hansad ipi hiyo!!?

kwani maneno hayo yatafutika? hamna namna nape ameongea kwa uropokaji aliokua nao ameshindwa kupima maneno yake analeta maneno yenye tafsr tofauti nape ndio mchochez
 
Jioni hii anazungumzia michezo lakini kwa mahaba yake ya wazi kwa chadema anaamua kuleta topic ya kumtaja Nape na kuongelea habari za goli la mkono huku akiwa ameandaa picha za akina Maradona za miaka hiyo na kujifanya kuuliza kwamba Goli la mkono alilosema Nape eti ni kupata ushindi hata wa udanganyifu! My take: Jambo lilishajadiliwa kitambo na mwenyewe alishalitolea ufafanuzi iweje leo iwe ndio habari ya kila siku hapo eatv? lengo lake ni nini?

Ivi we unajua kuwa kila siku kuwa kama wewe umepata na kuna mwingine hajapata? Basi mimi ckuwahi kusikia hiyo habari ndo nimeisikia leo.
 
Samson Mpuuze Hawa CHADOMO Wana Siasa Za Kitoto Kununua NGOs, Media, Wanaharakati Wa Amplify Agenda Zao Ili Waonekabe Wana Support.
Wakija Ballot Boxes Wanapigwa.
Isitoshe Hata ITV inajulikana kwa Mtu Yeyote Serious..., Labda Kipofu Tu

Toa ushahidi
 
Jioni hii anazungumzia michezo lakini kwa mahaba yake ya wazi kwa chadema anaamua kuleta topic ya kumtaja Nape na kuongelea habari za goli la mkono huku akiwa ameandaa picha za akina Maradona za miaka hiyo na kujifanya kuuliza kwamba Goli la mkono alilosema Nape eti ni kupata ushindi hata wa udanganyifu! My take: Jambo lilishajadiliwa kitambo na mwenyewe alishalitolea ufafanuzi iweje leo iwe ndio habari ya kila siku hapo eatv? lengo lake ni nini?

Ukweli sikuzote unauma,yale magari 700 ya polis pamoja na magari ya maji ya washawasha kwa akiliyako yalikuwa yanaumuhimu gani kama kweli ccm inakubalika wasiwasi wa nn
 
Sio kazi yake.
Mji nga kweli kumbe kazi ya nani? Mi jana tu nilimsikia Lubuva akilisemea hilo jambo...akaulizwa watachukua hatua gani akajibu....halikusemwa wakati wa kampeni (kisheria) kwa hiyo wao tume hawawezi kufanya lolote kuhusu kauli hiyo!...sasa unaposema mshalimaliza siku nyingi sijui ndo unamaanisha nini..when is siku nyingi?...Poor you....will you ever think out of the box na kuona hatari ya matamshi haya ya kipuuzi ya Nape kipindi kama hiki?
 
Back
Top Bottom