Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,854
Ila mbowe basi tu huyu jamaa
Ameama vyama vingi kwasababu vyama hivyo havina democrasia ya kweli.
Kwa hiyo mbowe kabakiza miaka mingapi?"Nataka kuwahakikishia wanachadema wote kuwa nimekuwa ndani ya Chadema kuanzia 1998 ambapo nilikuwa Makamu Mwenyekiti Bara, na baadaye 2003 Kaimu Katibu Mkuu, na hatimaye Katibu Mkuu, hivyo nimeshiriki kikamilifu kuandaa Katiba ya 2004 na pia Katiba ya 2006 baada ya Rebranding ya Chama.
"Nataka niwahakikishie wanachadema, hakuna toleo lolote la Katiba ndani ya Chadema imeweka " muda wa Uongozi kuwa vipindi viwili tu", kuanzia Katiba aliyoiasisi Mzee Mtei na kupitishwa na Mkutano Mkuu, wala si ya 2004 au ya 2006.
"Kama kuna mtu anasema ilikuwepo na imeondolewa kinyemela, basi aonyeshe kifungu hicho kwenye Katiba yeyote ile, au miniti za kikao chochote kile."
Haya ni maneno ya Dr. Slaa. Kama kuna mtu ana ushahidi wa Katiba iliyochakachuliwa ili Mbowe aongoze "Milele" alete hapa tulinganishe na hoja hizi.
Ni kweli kabisa. Tukumbuke tulianza kumjua Mbowe kabla ya Mwigamba na baada ya kupokelewa ndio akaonekana mfano turudi ktk historia ya Zitto na Mbowe.Nafiki hoja ya Mkwaru in kwamba Mwigamba anaweza kuwa sahihi kuhusu Mbowe na Chadema lakini maadamu safari yake kisiasa bado inaendelea ni vyema economical with words. Aweke "akiba ya maneno" sababu hao anawananga leo ndiyo waliochangia pakubwa ku- elevate profile yake. Ni suala kuonyesha appreciation pia!
Atahama kama akiona hakuna democrasia ya kweli.Na wewe unamwamini? Au humjui vizuri labda. Subiri ahame na huko aliko ndio utamjua zaidi
nafikiri miaka miwiliKwa hiyo mbowe kabakiza miaka mingapi?
Kama hujaona hoja yeyote kwenye hayo majibu niliyokupa kuhusu askofu na waraka umejitukana mwenyewe tayari soma tena ona hoja yangu niliyokupa kwanzia zama za yesu mpaka zama zetu maaskofu wamekua wakitumika kwa maslahi yao binafsi...askofu sio malaika ni binadamu kama wewe aliyosoma dini tu na sio kila msomi ana maadili ya taaluma aliyosomea..wenye maadili hawawezi tumia taaluma yao kufanya kazi za wengineMku hoja ni matusi tena.
Ni vuzuri ukaja na hoja sio bomba la matusi utakuwa umeongeza upeo wako. Kuja na matusi ni kukimbia hoja usiwemwoga wa majukumu
Ukija kwenye appreciation hoja yangu ni kwamba vyama pinzani vimekosa hio appreciation kwa taifa lao na wanaoliongoza sasa sioni sababu why samson inabidi amuappreciate mbowe ikiwa mbowe kwa akili zake timamu amegoma kuappreciate juhudi za serikali...hatuezi kua na double standards zinazoruhusu appreciations kwa mbowe na matusi kwa raisi kama tunajikita kwenye mapungufu ya mtu basi mwigamba ana haki kuanika mapungufu ya mbowe..Nafiki hoja ya Mkwaru in kwamba Mwigamba anaweza kuwa sahihi kuhusu Mbowe na Chadema lakini maadamu safari yake kisiasa bado inaendelea ni vyema economical with words. Aweke "akiba ya maneno" sababu hao anawananga leo ndiyo waliochangia pakubwa ku- elevate profile yake. Ni suala kuonyesha appreciation pia!
Wala vyama pinzani haviwezi kutatua hata kero moja uliyotaja hapo..a sweet crap to everyone tupa kuleHaituongezei Dawa hospitalini wala kupeleka maji na umeme kijijini kwangu. So a sweet crap tupa kule.
Hakuna kikomo cha kuhama chama,akihama hata ccm demokrasia inamruhusu ndio maana leo sumaye,nyarandu na lowasa ni wapinzani...kila mtu ana haki ya kua chama chochote akipendacho,chama ni itikadi na sera sio ukoo huo usihameNa wewe unamwamini? Au humjui vizuri labda. Subiri ahame na huko aliko ndio utamjua zaidi
Atakua SumayeNyalandu amehama.vyama vingapi so far na mimi nimeongelea Mwigamba kahama vyama vingapi? Umemsikia Nyalandu akipayuka kuhusu CCM?
Tumia akili hata kama uliyonayo ni ndogo.
Usitake kuelewa gazeti elewa tu yaliyoandikwa anzia hapoKagazeti ka kipuuzi sana haka sikaelewi kabisa
Thibitisha. Hili ni miongoni mwa magazeti yanayoendeshwa kijinga, yanaandaliwa kijinga kwa ajili ya wajinga. Haya pamoja na Tanzanite, Tazama; na the like ukienda kwa printer unakuta yamelipiwa matoleo hata matano ya mbele ili yaandike ujinga kwa ajili ya wajinga! Sales zake hata 1/100 haifiki. Kawadanganyeni wajinga wanzenu!Linapondwa na wajinga zaidi
Eti kuelewa kilichoandikwa, waelewe ujinga?Usitake kuelewa gazeti elewa tu yaliyoandikwa anzia hapo
Mtazamo wa kijinga unaakisi jinsi Jamvi lilivyo gazeti la kijinga!Ukija kwenye appreciation hoja yangu ni kwamba vyama pinzani vimekosa hio appreciation kwa taifa lao na wanaoliongoza sasa sioni sababu why samson inabidi amuappreciate mbowe ikiwa mbowe kwa akili zake timamu amegoma kuappreciate juhudi za serikali...hatuezi kua na double standards zinazoruhusu appreciations kwa mbowe na matusi kwa raisi kama tunajikita kwenye mapungufu ya mtu basi mwigamba ana haki kuanika mapungufu ya mbowe..
Kwa hiyo unanilazimisha kuelewa?Usitake kuelewa gazeti elewa tu yaliyoandikwa anzia hapo