MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,689
- 6,499
Source: Jamvi la Habari!
Jamvi la Habari ni kagazeti fulani hivi ka lumumba maalumu kwa kuichafua CHADEMA. Kama ukitaka ku-prove katika matoleo yote katika front page yake ni Mbowe, CHADEMA. Front page yake hata mkuu wa INJI hajawahi kukaa pale. Jaribuni kulifuatilia mtajanambia. Halinaga balance ya habari. Wao ni CHADEMA tu.
Gazeti la namna hii halifai kufungia hata mihogo
Jamvi la Habari ni kagazeti fulani hivi ka lumumba maalumu kwa kuichafua CHADEMA. Kama ukitaka ku-prove katika matoleo yote katika front page yake ni Mbowe, CHADEMA. Front page yake hata mkuu wa INJI hajawahi kukaa pale. Jaribuni kulifuatilia mtajanambia. Halinaga balance ya habari. Wao ni CHADEMA tu.
Gazeti la namna hii halifai kufungia hata mihogo