Tisha-TOTO
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 1,175
- 604
Aih....wamependeza wenyewe.
KK mashallah.... kama Hollywood material vile!!
Zamani nilisoma kitabu kilichoandikwa na KGB wakielezea kwa undani uhusika wa CIA serikali ya kibaguzi kwenye kifo cha Machel. Nilikuwa bado mdogo darasa la sita nakumbuka wakati nakisoma kile kitabu, waliweka details za kutosha namna mpango ulivyofanyika na hatimaye kufanikiwa kunasa ratiba ya safari za Machel na namna walivyotekeleza....
Ikumbukwe kwamba wakati ndugu zetu na Dunia wanapinga ubaguzi wa rangi, Wamarekani hawakuwa mstari wa mbele ktk hilo na waliwakumbatia wabaguzi.
Loh! mmenikumbusha mbali kweli.
Sam Nujoma NamibiaHuyu katikati ni nani? Nimemsahau kabisa jina:
Photo: GCIS
Graca Machel during the commemoration of the 25th anniversary of the Samora Machel tragedy held at Mbuzini in Mpumalanga.
Unakumbuka Huu: Nyerere Kaunda Banda. Mweee
Huyu katikati ni nani? Nimemsahau kabisa jina:
huyo ni JOCHIM CHISANO WA MPLA
Naona kwa mbali kuna kufanana na Mangula hivi au ni macho yangu?