Samora M. Machel

Frontline%20leaders%20at%20a%20conference%20in%20Lusaka%20%20Zambia%20Sam%20Nujoma,%20Kenneth%20Kaunda,%20Samora%20Machel,%20Julius%20Nyerere%20%20Robert%20Mugabe,%20Jose%20E.%20dos%20Santos.jpg


Aih....wamependeza wenyewe.
KK mashallah.... kama Hollywood material vile!!
 
Zamani nilisoma kitabu kilichoandikwa na KGB wakielezea kwa undani uhusika wa CIA serikali ya kibaguzi kwenye kifo cha Machel. Nilikuwa bado mdogo darasa la sita nakumbuka wakati nakisoma kile kitabu, waliweka details za kutosha namna mpango ulivyofanyika na hatimaye kufanikiwa kunasa ratiba ya safari za Machel na namna walivyotekeleza....

Ikumbukwe kwamba wakati ndugu zetu na Dunia wanapinga ubaguzi wa rangi, Wamarekani hawakuwa mstari wa mbele ktk hilo na waliwakumbatia wabaguzi.

Loh! mmenikumbusha mbali kweli.
 
Zamani nilisoma kitabu kilichoandikwa na KGB wakielezea kwa undani uhusika wa CIA serikali ya kibaguzi kwenye kifo cha Machel. Nilikuwa bado mdogo darasa la sita nakumbuka wakati nakisoma kile kitabu, waliweka details za kutosha namna mpango ulivyofanyika na hatimaye kufanikiwa kunasa ratiba ya safari za Machel na namna walivyotekeleza....

Ikumbukwe kwamba wakati ndugu zetu na Dunia wanapinga ubaguzi wa rangi, Wamarekani hawakuwa mstari wa mbele ktk hilo na waliwakumbatia wabaguzi.

Loh! mmenikumbusha mbali kweli.

Mkaburu walimtega SAMORA kwa kumwambia akutane nao kwenye mji wa Nkhomati ili waweke suluhu. Nakumbuka Mwalimu alipinga sana hili lakini Samora akaamua kwenda na matokeo yake aka uawawa. Mwalimu aliumia sana na akashindwa hata kumzika.
 
Back
Top Bottom