Samora M. Machel

Nimekumba; samora angejuwaaa, kwamba kesho atakufaaaaaa. Angetuagiza wenzake tuyatimilize kikamilifuuuu.....
 
samora_moises_machel.jpg



(2010-10-20) The children of Samora Machel, the first president of Mozambique, said yesterday at the end of a ceremony to honor the death of Samora Machel, that they are "still waiting for the results of the investigation" into the accident which killed their father, 24 years ago, reported the Portuguese daily newspaper Diário de Notícias.

"After this time, we are still awaiting for the results of the investigation to find out who was the murderer of Samora Machel", said yesterday one of the sons of former Mozambican President, Samito Machel, at the end of the ceremony at 'Praça dos Heróis' in Maputo, on the day that marked 24 years after his death.

On the night of 19 October 1986, the Russian aircraft carrying Samora Machel crashed in the mountains of Libombos, in South African territory but very close to Maputo. The President and 33 other passengers were killed instantly.

Club of Mozambique
 
SAMORA MACHEL son WITH GRACA MACHEL... Marriage!!!


904526_763407.jpg



[h=3]FORMER president Nelson Mandela gained a step-daughter-in-law in Patricia Costa yesterday when she married mining executive Malenga Machel in the Cape winelands.[/h]
Malenga is an executive at the Whatana Group, a Mozambican investment consortium headed by his mother, Graça Machel. His father is the late Samora Machel, the president of Mozambique at the time of his death in an air crash in 1986.

904526_763344.jpg



PROUD PARENT: Nelson Mandela and his wife Graça congratulate her son Malenga Machel at his graduation from the University of Cape Town in 2002

graca.jpg


The Son's Name is Malengani Machel

graca+2.jpg


To the Left of Former President Mandela is Samora Machel's Daughter with Graca her name is Josina Z. Machel


 
enzi hizo kulikuwa hamna pamba za ukweli au...maana naona wamevaa kawaida tu safi sana
 
Kuna tetesi kuwa Marehemu Samara Machel alikula njama ya kumuua mwasisi wa chama cha FRELIMO marehemu Richard Mondrane,ambaye alikuwa anatarajiwa kuwa rais wa kwanza wa msumbiji.Marehemu aliuwawa kwa bomu la kutegwa,lililokuwa limetegwa kwenye barua aliyotumia jijini Dar es salaam,na alizikwa kwenye makaburi ya kinondoni!kwa wale waliofika jiji la maputo kuna monuments mbili moja ya Samora machel na Richard Mondrane kama kumbukumbu ya mashujaa wa Msumbiji!!
 
Kuna tetesi kuwa Marehemu Samara Machel alikula njama ya kumuua mwasisi wa chama cha FRELIMO marehemu Richard Mondrane,ambaye alikuwa anatarajiwa kuwa rais wa kwanza wa msumbiji.Marehemu aliuwawa kwa bomu la kutegwa,lililokuwa limetegwa kwenye barua aliyotumia jijini Dar es salaam,na alizikwa kwenye makaburi ya kinondoni!kwa wale waliofika jiji la maputo kuna monuments mbili moja ya Samora machel na Richard Mondrane kama kumbukumbu ya mashujaa wa Msumbiji!!

Mkuu ni EDUARDO MONDLANE na sio RICHARD MONDRANE......Na hakuuwawa na SAMORA..huo ni upotoshaji wa "historia"......hapa yuko kulia
smm_and_mondlane_580x395.png
 
Huyu katikati ni nani? Nimemsahau kabisa jina:

mo%C3%A7ambique+04+samora+machel+-+foto+daniel+de+andrade-gaia.jpg

Huyo wa katikati ni Raisi wa zamani wa Namibia, ndugu Sam Nujoma wa chama cha SWAPO. Naye kaishi Morogoro na Mbeya wakati wa kupigania Uhuru wa nchi zao. Wakati anastaafu urais miaka michache iliyopita alikuja kuaga na kushukuru Tanzania kwa msaada aliopata.
 
Huyo wa katikati ni Raisi wa zamani wa Namibia, ndugu Sam Nujoma wa chama cha SWAPO. Naye kaishi Morogoro na Mbeya wakati wa kupigania Uhuru wa nchi zao. Wakati anastaafu urais miaka michache iliyopita alikuja kuaga na kushukuru Tanzania kwa msaada aliopata.

Sijui kama hawa atawakumbuka


Eduardo+Mondlane+na+II+Confer%C3%AAncia+da+CONCP+-+Dar-Es-Salam+1965-2.jpg
 
Idimi, ukisoma ukurasa wa pili, utakuta ujumbe niliandika kuwa ni Sam Nujoma. Nilikuwa nimemsahau kabisa jina.

Safari, huyu wa kushoto sura naifahamu kabisa ila jina pia sikumbuki. Huyo wa kulia nakiri kuwa simfahamu. Ila kwa kuangalia picha, nahisi ndiyo Richard Mondrane.

Huyu Mondrane na yeye ni kuwa nilikuwa namsikia tu ila nilikuwa sijawahi kumuona. Ndiyo matatizo ya kuwa kijijini miaka hiyo maana nilikuwa nasikiliza tu Radio Tanzania bila kuwaona hao watu. Nakumbuka hadi leo kumsikiliza Samora Machel akiimba zile nyimbo mbili maarufu zilizokuwa zikiimbwa hadi jeshini (JKT) kama "Ife ana Frelimo zowona?!?!" Siku hiyo nililala almost asubuhi maana sikuweza kabisa kukatiza hayo matangazo. Asubuhi nilipomuambia Baba habari nzima, hakuamini kuwa na udogo wangu wote huo nimekaa hadi asubuhi.

Sawa Mkuu, nakupa MJI na nitajie hao jamaa ni NANI?

Sijui kama hawa atawakumbuka


Eduardo+Mondlane+na+II+Confer%C3%AAncia+da+CONCP+-+Dar-Es-Salam+1965-2.jpg
 
Last edited by a moderator:
Idimi, ukisoma ukurasa wa pili, utakuta ujumbe niliandika kuwa ni Sam Nujoma. Nilikuwa nimemsahau kabisa jina.

Safari, huyu wa kushoto sura naifahamu kabisa ila jina pia sikumbuki. Huyo wa kulia nakiri kuwa simfahamu. Ila kwa kuangalia picha, nahisi ndiyo Richard Mondrane.

Huyu Mondrane na yeye ni kuwa nilikuwa namsikia tu ila nilikuwa sijawahi kumuona. Ndiyo matatizo ya kuwa kijijini miaka hiyo maana nilikuwa nasikiliza tu Radio Tanzania bila kuwaona hao watu. Nakumbuka hadi leo kumsikiliza Samora Machel akiimba zile nyimbo mbili maarufu zilizokuwa zikiimbwa hadi jeshini (JKT) kama "Ife ana Frelimo zowona?!?!" Siku hiyo nililala almost asubuhi maana sikuweza kabisa kukatiza hayo matangazo. Asubuhi nilipomuambia Baba habari nzima, hakuamini kuwa na udogo wangu wote huo nimekaa hadi asubuhi.

Sawa Mkuu, nakupa MJI na nitajie hao jamaa ni NANI?

Huyo kushoto ni our very own OSCAR SALATHIEL KAMBONA na huyo kulia ni EDUARDO MONDLANE na sio RICHARD.......Hawa walikuwa maswahiba sana na pro-west unlike Nyerere na Samora waliokuwa pro-east.........ndio maana kuna theory za kuuwawa kwa Mondlane na Samora
Eduardo+Mondlane+na+II+Confer%C3%AAncia+da+CONCP+-+Dar-Es-Salam+1965-2.jpg
 
Hizi TUPOLEV kwa kweli inabidi tuziweke kwenye kumbukumbu duniani maana hadi sasa zimeshauwa Marais Wawili na Exiled President mmoja.

Pichani ni Tupolev tu-154m ambayo ilianguka na kumuuwa Rais wa Poland na Mageneral wake wote wanne wa jeshi pamoja Ex-President Ryszard Kaczorowski wa Poland. Kwa ujumla walikufa watu zaidi ya 90.

36686.jpg
tu-154-polish-president-plane-crash.jpg
Mabaki ya ndege Tupolev baada ya kuanguka Russia.
Samora_Machel_Tupolev.jpg


Machel's Tupolev 134A Samora Machel was dead along with 33 of the 44 ...
 
Asante sana kwa kutukumbusha historia. Kama unazo picha viongozi wengine, tafadhali usisite kutubandikia hapa.
 
Back
Top Bottom