GE2025 Samia: Sisi hatuendi na 'Tone Tone' tunamimina Fedha

GE2025 Samia: Sisi hatuendi na 'Tone Tone' tunamimina Fedha

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Sasa Shida ni zina miminwa kwenye midomo ya mafisiii yanakulaa hatar
 
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi wa Wilaya ya Kondoa kuendelea kuamini chama hicho kwa kuchagua wagombea wake kuanzia ngazi ya urais, ubunge hadi udiwani, na kwamba chama hicho hakiendi na “tone tone,” bali kinamimina fedha.

Akihutubia mkutano wa kampeni leo Jumapili, Agosti 31, 2025, Samia amesema chama hicho kimejipambanua kwa kusimamia maendeleo ya wananchi kwa vitendo, huku akisisitiza kuwa CCM haendi kwa “tone tone,” bali inamimina fedha za maendeleo kwa miradi mikubwa ya kijamii na kiuchumi.

"Ndugu zangu wa Kondoa, hapa tuna mafiga matatu. Kwanza mimi mgombea urais, pia nawaombea kura wabunge wenu ambao ni vifaa vya kazi. Lakini pale tunapomimina fedha ndani ya Wilaya ya Kondoa, kwa sababu sisi hatuendi na tone tone, tunamimina fedha. Kwa hiyo, tunapomimina fedha ndani ya Kondoa, madiwani wenu ndiyo watakaosimamia utekelezaji wake. Kwa hiyo, naomba kura zenu kwa wote," amesema Samia.
Kwani wanashindana na nani??
 
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi wa Wilaya ya Kondoa kuendelea kuamini chama hicho kwa kuchagua wagombea wake kuanzia ngazi ya urais, ubunge hadi udiwani, na kwamba chama hicho hakiendi na “tone tone,” bali kinamimina fedha.

Akihutubia mkutano wa kampeni leo Jumapili, Agosti 31, 2025, Samia amesema chama hicho kimejipambanua kwa kusimamia maendeleo ya wananchi kwa vitendo, huku akisisitiza kuwa CCM haendi kwa “tone tone,” bali inamimina fedha za maendeleo kwa miradi mikubwa ya kijamii na kiuchumi.

"Ndugu zangu wa Kondoa, hapa tuna mafiga matatu. Kwanza mimi mgombea urais, pia nawaombea kura wabunge wenu ambao ni vifaa vya kazi. Lakini pale tunapomimina fedha ndani ya Wilaya ya Kondoa, kwa sababu sisi hatuendi na tone tone, tunamimina fedha. Kwa hiyo, tunapomimina fedha ndani ya Kondoa, madiwani wenu ndiyo watakaosimamia utekelezaji wake. Kwa hiyo, naomba kura zenu kwa wote," amesema Samia.
mafisadi,atakuja kumiminwa
 
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi wa Wilaya ya Kondoa kuendelea kuamini chama hicho kwa kuchagua wagombea wake kuanzia ngazi ya urais, ubunge hadi udiwani, na kwamba chama hicho hakiendi na “tone tone,” bali kinamimina fedha.

Akihutubia mkutano wa kampeni leo Jumapili, Agosti 31, 2025, Samia amesema chama hicho kimejipambanua kwa kusimamia maendeleo ya wananchi kwa vitendo, huku akisisitiza kuwa CCM haendi kwa “tone tone,” bali inamimina fedha za maendeleo kwa miradi mikubwa ya kijamii na kiuchumi.

"Ndugu zangu wa Kondoa, hapa tuna mafiga matatu. Kwanza mimi mgombea urais, pia nawaombea kura wabunge wenu ambao ni vifaa vya kazi. Lakini pale tunapomimina fedha ndani ya Wilaya ya Kondoa, kwa sababu sisi hatuendi na tone tone, tunamimina fedha. Kwa hiyo, tunapomimina fedha ndani ya Kondoa, madiwani wenu ndiyo watakaosimamia utekelezaji wake. Kwa hiyo, naomba kura zenu kwa wote," amesema Samia.
Amesahau kuwa chadema hawashiriki uchaguzi,mzimu wa chadema unatafuna watu
 
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi wa Wilaya ya Kondoa kuendelea kuamini chama hicho kwa kuchagua wagombea wake kuanzia ngazi ya urais, ubunge hadi udiwani, na kwamba chama hicho hakiendi na “tone tone,” bali kinamimina fedha.

Akihutubia mkutano wa kampeni leo Jumapili, Agosti 31, 2025, Samia amesema chama hicho kimejipambanua kwa kusimamia maendeleo ya wananchi kwa vitendo, huku akisisitiza kuwa CCM haendi kwa “tone tone,” bali inamimina fedha za maendeleo kwa miradi mikubwa ya kijamii na kiuchumi.

"Ndugu zangu wa Kondoa, hapa tuna mafiga matatu. Kwanza mimi mgombea urais, pia nawaombea kura wabunge wenu ambao ni vifaa vya kazi. Lakini pale tunapomimina fedha ndani ya Wilaya ya Kondoa, kwa sababu sisi hatuendi na tone tone, tunamimina fedha. Kwa hiyo, tunapomimina fedha ndani ya Kondoa, madiwani wenu ndiyo watakaosimamia utekelezaji wake. Kwa hiyo, naomba kura zenu kwa wote," amesema Samia.
Huyu egnek hana aibu hata chembe!
 
Akiendelea na kampeni katika jiji la DODOMA Leo akiwa katika wilaya ya kondoa Rais samia anaisifu CCM kwa kumimina fedha na sio mwendo wa tonetone!!
IMG-20250831-WA0045.jpg
IMG-20250831-WA0041.jpg
IMG-20250831-WA0047.jpg


 

Attachments

  • IMG-20250831-WA0045.jpg
    IMG-20250831-WA0045.jpg
    88.9 KB · Views: 6
Dah! Najisikia aibu kumtambulisha kama P wangu.

Kuna maneno utakiwi kuongea unaonekana kituko
 
Akiendelea na kampeni katika jiji la DODOMA Leo akiwa katika wilaya ya kondoa Rais samia anaisifu CCM kwa kumimina fedha na sio mwendo wa tonetone!!

View attachment 3460278

..Yap!

..Ccm haihitaji michango ya wananchi wa kawaida.

..Ccm inachangiwa mabilioni na mafisadi papa na wahujumu uchumi.
 
Chadema wenyewe sasa
 

Attachments

  • 1756630377991.jpg
    1756630377991.jpg
    300 KB · Views: 15
Mimi huyu mama yetu kuna mda akiwa anahutubia,naona aibu kwa baadhi ya maneno anayoongea!......Mimi sio nabii lakini laiti huyu angesimama na lisu mwaka huu ccm walikuwa na nafasi kubwa ya kupoteza kiti cha uraisi coz wana mgombea bogazi kweli kweli
 
Mimi huyu mama yetu kuna mda akiwa anahutubia,naona aibu kwa baadhi ya maneno anayoongea!......Mimi sio nabii lakini laiti huyu angesimama na lisu mwaka huu ccm walikuwa na nafasi kubwa ya kupoteza kiti cha uraisi coz wana mgombea bogazi kweli kweli
Hana skills za publick speaking , bora asome kwa kuandikiwa
 
Back
Top Bottom