begi la pesa
JF-Expert Member
- Apr 11, 2019
- 1,831
- 2,871
ili muendelee kulawiti au ? naona mshanogewa na kula macho ya wapinzani.Bi mkubwa tumekuverifai.....
View attachment 3349783
ili muendelee kulawiti au ? naona mshanogewa na kula macho ya wapinzani.Bi mkubwa tumekuverifai.....
View attachment 3349783
Hata usipoandika wakitaka kukuteka wanakuteka tu.Kama sio kutekana ningeandika kitu hapa msingeamini.
Ukinyamaza wewe, mawe yatasema, na ogopa sana mawe yakiongea!Mungu nifundishe kunyamaza
nyamaza tu udugu, unaweza mtukana huyu mpuuzi kwa hasira bure, kumbe mwenzio ashachanganyikiwa.Mungu nifundishe kunyamaza
Na wewe ni Bundi au Kenge au Kibwengo?
Umeandika kauli moja matata sana. Ingemake sense usingekua unatumia ID fake.Hata usipoandika wakitaka kukuteka wanakuteka tu.
Amua kufa umesimama au umelala!?!?
ulivo chawa mpumbavu bado unaamini hizo ngonjera za bunge la machizi? utasubiri sana mpuuzi mkubwaSerikali imesema kabla ya mwaka huu wa fedha 2025/2026 kuisha itakuwa imetangaza nafasi za ajira mpya 45,000 kwa kada mbalimbali ambazo utekelezaji wake unafanyika.
Kauli hiyo imetolewa Bungeni leo Jumanne tarehe 27 May 2025 na Naibu Waziri, Deus Sangu ambaye amesema kuwa katika mwaka wa fedha 2025/26 Serikali imeidhinisha jumla ya nafasi 41,500 za ajira mpya kwa kada mbalimbali ambazo zitawalenga kuajiri wahitimu stahiki.
Wewe Bundi au Kenge au Kibwengu?Umeandika kauli moja matata sana. Ingemake sense usingekua unatumia ID fake.
Vinginevyo ndio yaleyale, Mbongo ni muoga asikuzige ana hasira.
Mababu umenikamia kinoma, au na wewe unajua kusoma na kuandika?Wewe Bundi au Kenge au Kibwengu?
Sio kutoa, imeandikwa kutengeneza. Hujaelewa?Ila kwa uhalisia serikali inatoa ajira, so tusipotoshe sana
Wewe Kibwengu?Mababu umenikamia kinoma, au na wewe unajua kusoma na kuandika?
Kwani kuna hicho kiwanda hapa?Sio kutoa, imeandikwa kutengeneza. Hujaelewa?
oyaa we ni mlawiti wa ndani au nje? au unalawitiwa?Oyaaa we ni kenge wa ndani au wa nje???
Umeandika kauli moja matata sana. Ingemake sense usingekua unatumia ID fake.
Vinginevyo ndio yaleyale, Mbongo ni muoga asikuzige ana hasira.