Mwambieni huyu Ajuza wa Kizimkazi duniani kote serikali ndiyo zinazotafuta ajira kwenye sekta za umma au binafsi kwa wananchi wao!
Asilete ujuha Tanganyika!
Mwambieni huyu Ajuza wa Kizimkazi duniani kote serikali ndiyo zinazotafuta ajira kwenye sekta za umma au binafsi kwa wananchi wao!
Jukumu la Sekta Binafsi kutengeneza faida kubwa iwezekanavyo kwao na kwa wana HISA wao employment ni by the way kwahio kwenye karne tunayoelekea ya kutumia cameras, tractors na machinery badala ya binadamu kufanya kazi usitegemee wataajiri watu na hakuna mtu wa kuweza kuwalaumu sababu watakuwa wamekidhi Primary Objective yao (Making Money)Jukumu la serikali ni kuweka Mazingira yanayochochea Ajira. Ni jukumu la sekta binafsi kutengeneza Ajira.