Kinyungu
Platinum Member
- Apr 6, 2008
- 22,389
- 45,054
Jicho la mama zuri sanaš¤
Jicho la mama zuri sanaš¤
Kama condom ingetumika sidhani kama ningeulizwa hili swali.Wewe Kibwengu?
Na kweli unyamaze...kwanza ulifikiri kusema nini?Mungu nifundishe kunyamaza
Kwahy wanatoa kitu ambacho hawajatengeneza?Sio kutoa, imeandikwa kutengeneza. Hujaelewa?
Kwanza mumeweka heading na sio maelezo yote aliyesema
Nani mkubwa kati ya rais na Waziri?Serikali imesema kabla ya mwaka huu wa fedha 2025/2026 kuisha itakuwa imetangaza nafasi za ajira mpya 45,000 kwa kada mbalimbali ambazo utekelezaji wake unafanyika.
Kauli hiyo imetolewa Bungeni leo Jumanne tarehe 27 May 2025 na Naibu Waziri, Deus Sangu ambaye amesema kuwa katika mwaka wa fedha 2025/26 Serikali imeidhinisha jumla ya nafasi 41,500 za ajira mpya kwa kada mbalimbali ambazo zitawalenga kuajiri wahitimu stahiki.
Kama haitengenezi haiwezi kutoaSio kutoa, imeandikwa kutengeneza. Hujaelewa?
Onyesha link tusome hiyo habari au weka clipNani mkubwa kati ya rais na Waziri?
Ajira hutangazwa na Samia?Nani mkubwa kati ya rais na Waziri?
Kwanza mumeweka heading na sio maelezo yote aliyesema
Weka clip tusikie wote maana hamkawii kujikimu.
Inaonekana imetoka wapi. Tumia akili usitumie tu masaburi dogoOnyesha link tusome hiyo habari au weka clip
Bi mkubwa tumekuverifai.....
View attachment 3349783
Kunyamaza kimyaaa na kutulia tuliiii usifurukuteMungu nifundishe kunyamaza
Jukumu la serikali ni kuweka Mazingira yanayochochea Ajira. Ni jukumu la sekta binafsi kutengeneza Ajira.Huko duniani wanakojielewa hili ni mojawapo ya jukumu kuu la serikali pamoja na kudhibiti mfumuko wa bei.
Shika mdomo wako jishikilie malaika wa kifo yuko kaziniMungu nifundishe kunyamaza