Samia anasema Ajira si jukumu la Serikali. So msitegemee kitu

Samia anasema Ajira si jukumu la Serikali. So msitegemee kitu

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
11,180
Reaction score
22,803
Screenshot_2025-05-29-16-46-01-922_com.whatsapp.jpg


Screenshot_2025-05-16-10-30-57-181_com.twitter.android.jpg
 
Serikali imesema kabla ya mwaka huu wa fedha 2025/2026 kuisha itakuwa imetangaza nafasi za ajira mpya 45,000 kwa kada mbalimbali ambazo utekelezaji wake unafanyika.

Kauli hiyo imetolewa Bungeni leo Jumanne tarehe 27 May 2025 na Naibu Waziri, Deus Sangu ambaye amesema kuwa katika mwaka wa fedha 2025/26 Serikali imeidhinisha jumla ya nafasi 41,500 za ajira mpya kwa kada mbalimbali ambazo zitawalenga kuajiri wahitimu stahiki.
 
Kama hivyo ndivyo sasa kwanini haya yanafanyika...


Okay basi hata kama hayo yanafanyika kwanini yafanyike kwa kiwango hiki ?


In short hata tunajua ni mfumo gani wa uchumi tunafuata

 
Ndio maana Huwa hamleti story nzima.
Wachochezi mnajua kuchomoka na kaneno kamoja Kisha mbio kwenda mitandaoni kuandika.

Juzi juzi waliajiri zaidi watu Elfu 13 kwa elimu, afya, polisi n.k. Hizo ni ajira za wapi? Na juzi tarehe 27 Menejimenti ya utumishi wa umma imetoa Taarifa bungeni kuwa Serikali itatoa ajira rasmi 45,000 katika mwaka 2025/2026
 
Ndio maana Huwa hamleti story nzima.
Wachochezi mnajua kuchomoka na kaneno kamoja Kisha mbio kwenda mitandaoni kuandika.

Juzi juzi waliajiri zaidi watu Elfu 13 kwa elimu, afya, polisi n.k. Hizo ni ajira za wapi? Na juzi tarehe 27 Menejimenti ya utumishi wa umma imetoa Taarifa bungeni kuwa Serikali itatoa ajira rasmi 45,000 katika mwaka 2025/2026
Bundi huyo mpuuze
 
Back
Top Bottom