Samaki Mbasa

Samaki Mbasa

Nahisi kuna samaki wapya watakuwa wamepandikizwa na Hawa samaki wa asili wakawa chakula
Wapo samaki wengine wengi tu wadogodogo, huyo mbasa ni mkubwa wao.
Ngoja yuko mtu huko Songea karibia na Ziwa Nyasa ataleta akipata.
 
Nakubali chief, ila hapo imetiwa chumvi pipa zima. ChakuJ hakiliki yaani.
Wale samaki ni bei zaidi ya sato mkuu, halafu Matema beach kuna hoteli tele zimejengwa, sasa ukichukulia kiwango cha aina hiyo ya samaki na uhitaji wake kuwa mkubwa, unaona jinsi watu wanavochangia kirahisi juu ya upatikanaji wake ni kama masikhara vile.

Actually, JF is a home of GT.
Lakini mkuu ukumbuke; Jf ni The Home of Great Thinkers. Sikatai kwamba wababaishaji,na wajanja-wajanja wapo pia humu Jf ila kuwatambua ni ra
 
Hao hapo wakukausha
 

Attachments

  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    13.4 KB · Views: 14
Samaki Mbasa na mbufu kimaumbile wanakaribiana mfanano na Kambale. Mbelele ndiye anayefanana kwa kiasi fulani na Ningu au Sato. Huyu mbelele ndiye mwenye "Network" ya mifupa ndani ya minofu yake. Mbelele akiokwa (akichomwa) baada ya kuwekewa vile vijiti mdomoni hadi mkiani ili aive amenyooka Utampenda.
Mbelele unamchokoza tuu kwenye suala la mifupa labda ungeniambia mbelele kwenye ukubwa wa macho! Namzungumzia mbasa mwenyewee samaki mwenye damu zaidi ya kuku!
 
Vp Hawa Samaki Bado Wanapatikana Maana Miezi Waliosema Wanapatikana Ni Huu
Nipo Hapa Katikati Ya Mji Wa RUVUMA
 
Mbasa hawa hapa!
 

Attachments

  • images (6).jpeg
    images (6).jpeg
    46.6 KB · Views: 11
  • images (5).jpeg
    images (5).jpeg
    36.3 KB · Views: 12

Similar Discussions

Back
Top Bottom