babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 15,934
- 20,226
- Thread starter
- #21
Ndio shida iko hapoWanapatikana Kwa kiasi kidogo Sana.
Ndio shida iko hapoWanapatikana Kwa kiasi kidogo Sana.
Ruhuhu Songea?Jaribu kuwatembelea wale wavuvi wa mto Ruhuhu ila jihadhari na mamba.
Nahisi kuna samaki wapya watakuwa wamepandikizwa na Hawa samaki wa asili wakawa chakulaNdio shida iko hapo
Mto ndo Mpaka kati ya Wilaya ya Ludewa (mkoa wa Njombe) na Songea.Ruhuhu Songea?
Overfishing, na wana slow birth rate, ni vema wadau waanze kuwazalisha ktk mashamba ya kutengeneza I.e fish pondsWanapatikana Kwa kiasi kidogo Sana.
Ndiyo maana Tz ilituhumiwa kuhamisha biconi za mpaka wa ziwa nyasa.Kwamba tuliingia ndani.by the way sijui hizi tuhuma ziliishia wapi?Siwaiti wakuu, twende kwenye mada.
Hawa samaki niliambiwa ni wengi sana huko matema beach na Nyasa mbele huko.
Kiukweli samaki ni mtamu na ana mafuta sanani bibi alikua aNaleta.
Nilienda mwaka 2016.
Sikukuta kitu,
Wameenda wapi?
Ni samaki tasrte vit vin
somo la tokyo hatukuelewana
Acha kudanganya watu mkuu.Kipindi hiki ndio wanaanza. Kufikia mwezi wa 5,6 kipindi cha mpunga kuchanganya ndio nao wanachanganya. Hapo mbasa kilo 7 unampata kwa elfu 15 mpaka 20+
Nimekumis hunnie☺️Yaani usipo like na hii comment Anastasia21
Siyo kweliNi samaki watumu sana wanatoka kwa mwaka mara 1 mwezi wa 3-5 TU.(Msimu wao)
KAZI ni kipimo cha utu
Wazo na Ushauri mzuri sana huu. Naongezea tu kwamba Utafiti wa kina ufanyike (au kama tayari zipo Taarifa OK) kubaini changamoto zilizopo e.g. magonjwa au mahitaji maalum katika kilimo hicho na muda wa kupata mavuno n.k..Overfishing, na wana slow birth rate, ni vema wadau waanze kuwazalisha ktk mashamba ya kutengeneza I.e fish ponds
The said Allegations vanished in thin air.Ndiyo maana Tz ilituhumiwa kuhamisha biconi za mpaka wa ziwa nyasa.Kwamba tuliingia ndani.by the way sijui hizi tuhuma ziliishia wapi?
Wazo na Ushauri mzuri sana huu. Naongezea tu kwamba Utafiti wa kina ufanyike (au kama tayari zipo Taarifa OK) kubaini changamoto zilizopo e.g. magonjwa au mahitaji maalum katika kilimo hicho na muda wa kupata mavuno n.k..
Lakini mkuu ukumbuke; Jf ni The Home of Great Thinkers. Sikatai kwamba wababaishaji,na wajanja-wajanja wapo pia humu Jf ila kuwatambua ni rahisi sana.Jichanganye na story za JF
Labda ni mtu kuzifuatilia -Lakini kama lengofiche lilikuwa ni Maokoto; basi ndo imetoka hivyo.Tuliwahi fanya utafiti pale TAFIRI Kyela, ila walikuwa samaki wengine wa ziwa nyasa na sio Mbasa.
sifahamu kwa sasa wamefikia wapi juu ya zile tafiti.
Zipo Nyingi mbasa mkuu,?!Mto ndo Mpaka kati ya Wilaya ya Ludewa (mkoa wa Njombe) na Songea.
Ukweli ni UPI?Siyo kweli
Samaki Mbasa na mbufu kimaumbile wanakaribiana mfanano na Kambale. Mbelele ndiye anayefanana kwa kiasi fulani na Ningu au Sato. Huyu mbelele ndiye mwenye "Network" ya mifupa ndani ya minofu yake. Mbelele akiokwa (akichomwa) baada ya kuwekewa vile vijiti mdomoni hadi mkiani ili aive amenyooka Utampenda.Mitandaoni usipo kuwa makini unaweza potezwa vibaya mnoo! Huyu samaki anavyo sifiwa na ukakutana naye live ataelewa.
Naweza sema kwanza si samaki wa kumpa mtoto kama samaki wengine kwa sababu samaki huyu ana miiba ipo kama delta ndani ya mnofu hii ndiyo sifa pekee mbaya inayo mfanya huyu samaki kuwa wa hovyo! Pili ana mafuta mengi mno kiasi ambacho usipo mpika vizuri utajutia pesa yako manaa anaiva vibaya mnoo!