Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,158
- 9,168
Senk yu Ndahani
Boflo wa ukweli...hakunaga....
Senk yu Ndahani
Utafikiri akiliwa hageuki kuwa kinyesi...huyo samaki alivyorembwa kama "hataliwa vile"...
Hahaha sasa mm ni member Kawe Club huwa nampigia Tina(0657 575990) ananiandalia samaki watamu kabla sijafika
Hizi mix races nyengine mmh
are we talking about real samaki au kuna tafsida inayonipiga chenga?
plz plz plz preta rudisha avatar yako.twende basi leo Kawe Club tukale samaki na ndizi mzuzu..........
tulienda......tumeshamaliza tofauti.....kasheshe ipo pale juzi aliponiacha mbuzi Runway.......hili zogo bado jipyaaaaaa.......
Hizi mix races nyengine mmh