Wana jf, ubongo ulikuwa unapenda kukua bila salaam za kujitambulisha kwenu!! Nimekosea kwa hilo !!!! Naomba kujiunga katika foleni ya kikombe cha tiba ya kupanua akili na hekima ya kupokea na kuchangia topics toka kwa wanajf!!!!! Salaam kwenu...mabibi na mabwana nipokeeni!!!
Karibu sana, uwe mvumilivu tu kwa utayokumbana nayo humu. Na utaloona hapa, utalosikia hapa, utalosema hapa, uliache hapa hapa. Hiyo ni nasaha kutoka kwa mtu mzima, ukipenda ishike ukipenda iache.