Hili jamaa sijui linatokea kijiji cha wapi.....hili ulioanzisha wakati hata maneno ya kiswahili yanakusumbua ya walimu yanakusaidia nini.Kwanza tafuta mwl wa kiswahili akusaidie unaonekana hamnazo kichwaniNiuongo?
Hili jamaa sijui linatokea kijiji cha wapi.....hili ulioanzisha wakati hata maneno ya kiswahili yanakusumbua ya walimu yanakusaidia nini.Kwanza tafuta mwl wa kiswahili akusaidie unaonekana hamnazo kichwaniNiuongo?
Waarimu mpoooo! Njoni huku ! Mwl. Mwenzenu kakinukisha huko misungwi! Raana za michango ya watoto masikini zinawara
Hamutabaki salama, karibu nitatangaza kazi ya uarimu imeraaniwa, haiwezekani ni warimu tu kila siku.
Yule wa mwanza ktk shule ya mkorani sekondali school nae katoka jera na lkn bado anachafua hari ya hewa.
Waalimu vipi?.
Chademaa nayo imekufa
Sijui mutakimbilia wapi .
Hayo makosa nimeyao "nilimpaka mafuta kwa mgongo wa chupa" nilitaka anijibu kwanza nimchane maana mwalimu alimfundhisha mwanafunzi huyu amekula hasara akili zake fupi mgumu kuelewa.Ukisema anajua kuandika vizuri unakosea ... anajua kuandika lakini sio vizuri
*Raana= laana
*sarama = salama
*makubariano = makubaliano
Vingine angalia mwenyewe
Hayo makosa nimeyao "nilimpaka mafuta kwa mgongo wa chupa" nilitaka anijibu kwanza nimchane maana mwalimu alimfundhisha mwanafunzi huyu amekula hasara akili zake fupi mgumu kuelewa.
angalau umemstiri, ungekuwa katiri ungesema tu kuwa unavyofahamu jamaa ni punga tu!!Navyofaham ni kwamba wewe ni membar unae tafuta UMAARUFU kupitia njia hii ya kuwaponda walimu kwa kila mada yako tena ukijidai hujui kutofautisha herufi R na L(Uonekana wa kuja) .
Nina imani unauwezo sahihi wa kuandika mada vizuri kabisa kwa neno sahihi. Ila watumia mgongo huu ili tuu ujulikane .
Uyu atakuwa ni mnyankole raia wa UgandaHili jamaa sijui linatokea kijiji cha wapi.....hili ulioanzisha wakati hata maneno ya kiswahili yanakusumbua ya walimu yanakusaidia nini.Kwanza tafuta mwl wa kiswahili akusaidie unaonekana hamnazo kichwani
Pole Sana ndugu yangu! Ni vile tu hatujuani,hata hivyo namna yako ya uandishi na uwasilishaji wa hoja zako unatosha kukujua vema kuwa hapa nalumbana na mtu wa namna gani. Naona pia umeamua kunipa taaluma ya ualimu,tena ualimu uchwara kwa kuwa najaribu kukupa changamoto kwenye hoja zako,hatimaye unaniambie nijiondoe JF,Kati ya mimi na wewe nani anayepaswa kujiondoa humu? Wewe ni nani hata usipingwe kwenye hoja zako? Waheshimu walimu, tumia lugha nzuri kufikisha ujumbe wako.Mahakamani itabidi mshitakiwa wapili awe Takukuru maana ndo wanaotoa taarifa ktk vyombo vya habari.
Tunacho hoji nikwanini ni warimu tu kila siku?
Kwanini wasiwe ni wastaafu wengine?
Kuhisi ni raana nasi laana nikwasababu warimu wamezidi sana kupigwa.
Wewe km ni mmoja wapo wa warimu wachangisha michango tegemea raana hiyo kukupata wewe mwarimu.
Tumechoka kusikia habari zenu warimu. Badirikeni bwana.
Mwingine naye mwarimu wa mkorani naye anaweka hukumu hum jf ya ujinga uliomfanya aende jela.
Km vipi jiondoe jf, hatutachoka kuhoji, km Rais tunamuhoji hum jf sembuse na nyie warimu uchwara.
Kumbuka kuna baadhi ya WALIMU weledi na wanaoiheshim taaruma yao, nawanachapa kazi vizuri tu, tunawaheshimu sana!
Ila nyie warimu mnaokesha kuchangisha michango kwa kutumia kamati za shule, nahata bila kamati za shule ndo tunaowasema na tutawasema sana.