Sam Mahela sasa ndani ya TBC1

Sam Mahela sasa ndani ya TBC1

Nanyie mnaangalia tbc ?? Yani usingeleta huu uzi hata miaka10 nisingekuwa na taarifa
 
Kabisa Mkuu na wengi wenye Akili hiyo ni vijana ambao bado wanalishwa kwao Au anasubir bum litoke afanyie nalo Laana bado Hawajajua maisha vizuri. Km mtu Unayejitafutia ugali wako mwenyewe huwezi mshangaa jamaa Kwa maamuzi aliyoyachukua. Bora mtu usiwe maarufu lakini bank balance inasoma kuliko umaarufu njaa ambao watanzania wengi ndio wanao.
Je mmeweza kujua huko alikoenda maslahi ni makubwa kuliko alikotoka? Kuna jamaa yangu alifanya kazi serikalini for 15 yrs na alichoweza ni kununua kiwanja tuu na pesa ya kula. Atapata private (NGO) for 5 yrs ambapo aliweza Kujenga nyumba mjini na kijijini kwao, na gari akanunua Kwani wakati serikalini aliacha na take home ya laki saba huku alikoenda alianzia 1.8m ikaenda mpaka 2m plus night allowance. Alipomaliza mkataba hakurudi serikalini akapata another NGO... Maisha yanasonga
 
Wewe ni nani katika Taifa hili mpaka usipofungua hiyo chaneli kuathiri maisha ya Sam Mahela au wengine!?
Acha Unafiki PAMBANA na hali yako. Hapo ulipo bundle unategemea kutoka kwa danga, halafu mipovu inakububujika kama mashine ya kufulia mashuka ya wagonjwa Muhimbili. Pathetic!
Na wewe povu la nini jombaaa.... Hayo ni maoni yake
 
!
!
Hongera Kwake.
Selikalini Ni Full Kurelax Aisee. Hakuna Kazi Yoyote. Wewe Ni Kwenda Tu Kusign Attendance Kisha Kazi Mbili Tatu Tena Kazi Zenyewe Daaah Just Like That The Day Is Over
 
Je mmeweza kujua huko alikoenda maslahi ni makubwa kuliko alikotoka? Kuna jamaa yangu alifanya kazi serikalini for 15 yrs na alichoweza ni kununua kiwanja tuu na pesa ya kula. Atapata private (NGO) for 5 yrs ambapo aliweza Kujenga nyumba mjini na kijijini kwao, na gari akanunua Kwani wakati serikalini aliacha na take home ya laki saba huku alikoenda alianzia 1.8m ikaenda mpaka 2m plus night allowance. Alipomaliza mkataba hakurudi serikalini akapata another NGO... Maisha yanasonga
Ni private ngapi za hivyo
 
Maisha hayana kanuni labda kwa mchawi tu
Bila kanuni kwenye maisha hutoboi mfano.... Lazima kwa kila pato unaloingiza uweke serving ili baadae ukikwama ikusaidie, matumizi yako lazima yaendane na kipato chako, kama kipato ni kidogo tafuta extra income etc.... Hii ni mifano ya kanuni muhimu za maisha
 
Inasemekana ajira za serikali zina security ya kazi. Labda kaona bora aende kupata huo usalama.

Ndo maana nchi haina maendeleo na serikalini utendaji kazi ni mbovu sana. Mtu akiajiliwa serikalini mpaka akili ina relax maana anakua ameishafunga ndo na serikali mpaka kifo kiwatenganishe au kufikisha miaka 60. Hii inapelekea watendaji kutokua creative na kuumiza kichwa
 
Alishapotea kitambo, kipindi cha dakika 45 kilikua utadhani gerson msigwa ndio anakiendesha
 
TBC mali ya umma ina maana salum juma anajiita sam mahela kajiriwa serikalini kwa cheti cha kughushi siyo chake

Tunamjua salum Juma tangu uchama sekondari mwaka 1996 aligukuzwa shule akiwa kidato cha pili kwa tuhum za kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja

Kipindi uyu salum juma anadoka uchama sekondari alimuacha binam yake aliyeitwa sam mahela ambaye alihutimu kidato cha nne na kupata division two

Uyu salum Juma alibadili dini na sababu yakubadili dini ni magumashi ya tabia yake ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja alikuwa anatuongopea kuwa ana majini kwaiyo anaomba aombewe


Sam mahela siyo jina lake ni jina la binam yake yeye anaitwa salum juma iweje ajiliwe kwa cheti cha kugushi wanaobisha waende uchama sekondari nzega wakaulizie kama sam mahela uyu tunayemuona alihitimu shule pale.
 
Nina swali wadau:

Kwa nini huyo mtangazaji alitolewa kuripoti habari na kuwekwa (sero) kuwa mtangazaji wa vipindi?

Ni wakati akiwa televisheni ya uhuru.
 
Acheni unafki Kila mtu anapofanya kazi anaangalia Maslahi yake binafsi pengine Huko Itv hakuwa na mkataba Wa kudumu. Watu mshaingiza siasa duh.......
Hakuna hodari au mfanyakazi yoyote anaejiamini juu ya taaluma yake au kipaji chake anae kimbilia mkataba wa kudumu, wote huwa wanafanya kazi za muda maalum, uyo sam maela hajielewi kabisa utoke itv uende TBC hamna kitu hapo
 
Back
Top Bottom