Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 47,773
- 256,795
Angekuwa hajielew Hata hapo Itv asingeajiriwa. Hivi watanzania mna nini ajira ya mwingine povu utokwe Wewe Pambaneni na hali zenu atii.Hakuna hodari au mfanyakazi yoyote anaejiamini juu ya taaluma yake au kipaji chake anae kimbilia mkataba wa kudumu, wote huwa wanafanya kazi za muda maalum, uyo sam maela hajielewi kabisa utoke itv uende TBC hamna kitu hapo