Sam Mahela sasa ndani ya TBC1

Sam Mahela sasa ndani ya TBC1

Kwa mtu ambaye ameshafanya kazi media za Bongo sidhani kama anaweza mlaumu Sam kama unavyofanya wewe.Licha ya kuwa ni mtangazaji Mahela pia ni baba wa familia.Maisha ya Media Tanzania yanajulikna...mfano ile TV ya kanda ya ziwa unaweza ukakaa miezi 5 hujalipwa,sasa ukiitwa TBC ambako mshahara 95% ni uhakika unaanzaje kukataa?
Kuna Dada Namfahamu yupo hapo Itv anatangazaga habari usiku saa Mbili, Ukimuona Kwenye TV unaweza dhani analipwa pesa ndefu lakini anaishi tabata vyumba viwili, madeni Kila kona yamemuandama watu Haya hawayafahamu. Itv wanatengeneza waandishi maskini wenye Majina makubwa. Bora Hata clouds FM.
 
Kabisa Mkuu na wengi wenye Akili hiyo ni vijana ambao bado wanalishwa kwao Au anasubir bum litoke afanyie nalo Laana bado Hawajajua maisha vizuri. Km mtu Unayejitafutia ugali wako mwenyewe huwezi mshangaa jamaa Kwa maamuzi aliyoyachukua. Bora mtu usiwe maarufu lakini bank balance inasoma kuliko umaarufu njaa ambao watanzania wengi ndio wanao.
Ndo ukweli wa mambo
 
Kuna Dada Namfahamu yupo hapo Itv anatangazaga habari usiku saa Mbili, Ukimuona Kwenye TV unaweza dhani analipwa pesa ndefu lakini anaishi tabata vyumba viwili, madeni Kila kona yamemuandama watu Haya hawayafahamu. Itv wanatengeneza waandishi maskini wenye Majina makubwa. Bora Hata clouds FM.
Farhia middle
 
Bora angeenda Azam au hata star Tv huko alipoenda naweza pita miaka 2 sijafungua hiyo channel sababu vipindi vinaboa taarifa zao picha sio clear yaani ni yakizee haswaaa mara ya mwisho kuangalia Tbc kipindi cha chereko kilipokuwa hot mtangazaji sijui glory nani alivyotoka yule mtangazaji nikapotea na mie Sam hukuona nafasi hata Efm au TV1 kweliiii au ungeenda hata sibuka tv
Wewe ni nani katika Taifa hili mpaka usipofungua hiyo chaneli kuathiri maisha ya Sam Mahela au wengine!?
Acha Unafiki PAMBANA na hali yako. Hapo ulipo bundle unategemea kutoka kwa danga, halafu mipovu inakububujika kama mashine ya kufulia mashuka ya wagonjwa Muhimbili. Pathetic!
 
Hana lolote alikuwa akihoji MTU anamuuliza swali moja anamuachia MTU ajieleze nusu SAA kama hotuba!
 
Haaa!ndo maana simuonagi kwenye kile kipindi cha dk45 kumbe amehama jamani saam
 
Huyo anajiandaa kufikiriwa nafasi za juu serikalini , ndiyo anajisogeza karibu
 
Wabongo unafiki umewajaa!.. Mtu aafanya kazi penye maslahi!. Kama analipw vizuri na security ya kazi ipo kwanini asihame!?.
Wanasiasa tu wanahama iweje mwanahabari asiweze!
 
Sasa huyu nae kafuata nini huko?
Huko ndio kwenyewe kama hujui. Kuna improvement kubwa sana. Sam Mahela baba Piga kazi. Uzalendo kwanza. afi sana. Kuna watu wamekalia kuangalia Vyombo binafsi wakipitwa na fursa wanakuja kulalamikia Serekali! Sam Mahela hapa una nafasi ya kuendelea sio vyombo binfsi mtu unakuwa kwenye hiko cheo miaka nenda rudi! Kama nasema uongo nina kidhibiti chja chombo fulani muwakilishi wake tangu nimfahamu yuko hapohapo miaka nenda rudi nilimfahamu 1998- sasa sina uhakika alianza kutangazia chombo hicho lini. Sam usiwe na wasiwasi!
 
Back
Top Bottom